Hii OFM ni kitu gani mkuu?, na wanavamia watu katika mazingira gani?
Halafu wakimfumania mtu wanafanyaje?MAGAZETI YA SHIGONGO wanatengeneza mishe za kufamania watu katika magest,opereshen fichua maovu(OFM)
Ndio ni kosa
sioi mpaka vifungu vya sharia vibadilishwe tena ingekuw vzur ukimfumania mwenzi wako unaweza kuomba talaka ya bila kugawana vitu mlivy vichuma kungekwa na uoga flan hv wa kuanza moja
Hata kama sio criminal offence ila ni morally wrong, na ukikutwa mkuu unaweza hata kuuawa!
Kwa hiyo wake za watu sio vizuri kunyemelewa hata kama sheria iko silent!!
Ukiua kwa sababu ya ugoni utashitakiwa kwa kosa la mauaji kama muuaji mwingine yeyote tu..Na huyu aliyeua mtu kwa sababu ya ugoni naye sheria inasemaje au nayo inakaa kimya?
Hiyo ndiyo haswaaa, ila unaweza kushtakiwa kwa civil suit.Kwa tanganyika adultery is not a criminal offence, lakin kwa sheria za zanzibar ni kosa la jinai. Samahani vifungu sinavyo karibu ila ndivyo ilivyo. Hao wenaowatendea vitendo ulivyotaja wanafanya kosa kisheria. Adhabu inapaswa itolewe na competent court tu.
Halafu wakimfumania mtu wanafanyaje?
Binadamu tumefika pabaya sana haya mambo tuyasikie tu yasikutokee.
Mkuu yameshakukuta nini?