IamIntrovert
Member
- Jul 13, 2023
- 34
- 44
- Thread starter
-
- #21
Hilo tatizo liko damuni. Hurithiwa.ukigusa manyinya ya wanyama kama mbwa na paka au kunusa marashi makali au vumbi ngozi hututumuka.
Piga 0713 039 875 Dr Mussa kwa matibabu
Yah tena kwa asilimia 100, unapona moja kwa moja na haitarud tena. Matumizi ya dawa ni mwezi mmja.Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Wadau ninahitaji kufahamu kama ugonjwa huu unapona, nina ndugu yangu anasumbuliwa sana.
ndio hiyo niya kurithi mkuuNimeulizia kwa wazazi wanasema hakuna aneyeumwa(wao & Babu au Bibi).Ila huyu ndugu yangu na mdogo wetu wa mwisho ndio wenye nayo
Je hii inawezekana ikawa ni ya kurithi?
Yah tena kwa asilimia 100, unapona moja kwa moja na haitarud tena. Matumizi ya dawa ni mwezi mmja.
Mkuu pole sana kw ahuyo ndugu yako anaye sumbuliwa na amradhi ya pumu dawa ya kuponyesha maradhi ya pumu ukitaka tutafute kwa wakati wako ili tupate kukutibia maradhi yako uguwa pole.Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Wadau ninahitaji kufahamu kama ugonjwa huu unapona, nina ndugu yangu anasumbuliwa sana.
Yeah. Mwambie ameze dawa za Atovastartin kwa muda we miezi mitatu mfululizo. Kuna uwezekano mkubwa, akapata nafuu.
Mkuu pole sana kw ahuyo ndugu yako anaye sumbuliwa na amradhi ya pumu dawa ya kuponyesha maradhi ya pumu ukitaka tutafute kwa wakati wako ili tupate kukutibia maradhi yako uguwa pole.
angalia ugonjwa hujiludia kipindi cha uzeeNilizaliwa na pumu, wakati wa utoto wingu likiwepo Mimi kifua kinabana.
Nilipewa dawa nyingi ikiwemo mafuta ya Simba, majani nilikuwa navuta Kama sigara lakini baadae pumu ilipotea .
Mpaka Sasa sijui ni dawa gani iliniponya na huu ugonjwa ulikuwa ni wa kurithi.
Njoo inbox ndugu nikuelekeze sehemu ukachukue dawa hiyo inapona fasta tu!
Unapona vizuri kabisa Inshallah.
Tafuta (Mullen) mmea unaosifika duniani Kwa maswala ya pumu nao ni Mullen
Hii ni dawa inayosafisha mapafu na mfumo wa upumuaji Kwa ujumla.
Imetumia miaka mingi huko ULaya marekani na Asia .
Una sifa ya expectorant ambayo ni kutoa makohozi mucus inayoziba ktk mfumo wa upumuaji
Matumizi yake ni chai yake au matone kama una tincture au kutengeza joint kama ya wavuta tumbaku na kuvuta kama sigara Ili dawa kuingia vizuri na nzuri Kwa wale waliowahi kuwa wavuta sigara baada ya kuquit au magonjwa ya mapafu na upumuaji.
Hii dawa pia ni best Kwa watu wenye Tuberculosis TB .
Huu mmea kaulizie kariakoo ukiwa na picha lakini wajanja wanaweza kukupa dawa na kukwambia ndio kumbe sio au google search picture zaidi na ulizia wataalamu wa mimea kwani huota kama magugu ila ni dawa hatari.Mkuu naomba unifahamishe nawezaje kuupata huu mmea nina ndugu yangu ni mwenye kusumbuliwa sana na pumu.
Huu mmea kaulizie kariakoo ukiwa na picha lakini wajanja wanaweza kukupa dawa na kukwambia ndio kumbe sio au google search picture zaidi na ulizia wataalamu wa mimea kwani huota kama magugu ila ni dawa hatari.
Kwa Sasa Niko South Africa na huku Kuna pharmacy za herbs hivyo inapatikana ktk hayo maduka.
Au nicheki pm tuone kama namna unaweza kuipata
View attachment 2752481View attachment 2752493