Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu typhoid n inasabishwa na kunywa maji machafu pia na kachumbar ambayo n kbchi unaitaji kuacha ulaji kwa wng kachumbarWakuu nilipata homa nikapima nikakutwa na tyfoid, nilivoanza kupona mara homa ikajirudi tena, je inaweza kuwa na mke wangu ana ugonjwa huo pia? Na kunisababisha kurudi Kwa homa ya tyfoid kama ilivyo Kwa UTI?
Umekua inzi unakula mavi typhoid maana yake unakula kiwango kikubwa sana cha mavi labda itakua unamnyonya sana mkeo sehemu ya haja kubwa punguza kufanya hivyo bila hivyo typhoid haitoisha au mwambie mkeo chakula anachopika asikuwekee mavi mengi yanakuletea typhoidNa kunisababisha kurudi Kwa homa ya tyfoid kama ilivyo Kwa UTI?
Typhoid ni gastrointestinal....UTI ni urinary tract infections not STI sexually Transmitted disease..... UTI may cause STI pathogens invade easily.Wakuu nilipata homa nikapima nikakutwa na tyfoid, nilivoanza kupona mara homa ikajirudi tena, je inaweza kuwa na mke wangu ana ugonjwa huo pia? Na kunisababisha kurudi Kwa homa ya tyfoid kama ilivyo Kwa UTI?
Kuna mambo ukiyasoma humu unatakiwa uwe makini sanaHapana mkuu
Kama mnanyonyana vinyeo! Maana typhoid ni ugonjwa unaotokana na kula kinyesi kibichiWakuu nilipata homa nikapima nikakutwa na tyfoid, nilivoanza kupona mara homa ikajirudi tena, je inaweza kuwa na mke wangu ana ugonjwa huo pia? Na kunisababisha kurudi Kwa homa ya tyfoid kama ilivyo Kwa UTI?
Mnachanganya na kipindupinduUmekua inzi unakula mavi typhoid maana yake unakula kiwango kikubwa sana cha mavi labda itakua unamnyonya sana mkeo sehemu ya haja kubwa punguza kufanya hivyo bila hivyo typhoid haitoisha au mwambie mkeo chakula anachopika asikuwekee mavi mengi yanakuletea typhoid
Kwanini mkuu 😄😄😄😄😄Kuna mambo ukiyasoma humu unatakiwa uwe makini sana
Inaenezwa kwa Kula vitu vichafu au kunywa maji machafu! ila inasababishwa na bacteria anaitwa salimonela typhiMkuu typhoid n inasabishwa na kunywa maji machafu pia na kachumbar ambayo n kbchi unaitaji kuacha ulaji kwa wng kachumbar