Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Wanajukwaa hongereni kwa kupamhania kombe kila iitwapo leo
Lengo la uzi huu nikukemea mambo ysiyo yakiungwana katika jamii yetu.
WEKENI MAMBO YASIYO YA KIUNGWANA HAPA TUYAKEMEE
Kumekuwepo na watu ambao wanajiona wao ndio wamejipa hatimiliki ya hii nchi ambao hawataki mabadiliko almaarufu WAHAFIDHINA.
Enyi wahafidhina msiotaka mabadiliko katika Tanzania yetu ninani aliyewaroga?
Je, uhafidhina sio tabia ya ubinafsi uliokomaa kwamba hubadiliki na hupokei ushauri wa mtu kutoka upande wa pili?
Wahafidhina nawauliza. Je, huo niuungwana? Laahasha huo sio uungwana acheni hiyo kitu.
Lengo la uzi huu nikukemea mambo ysiyo yakiungwana katika jamii yetu.
WEKENI MAMBO YASIYO YA KIUNGWANA HAPA TUYAKEMEE
Kumekuwepo na watu ambao wanajiona wao ndio wamejipa hatimiliki ya hii nchi ambao hawataki mabadiliko almaarufu WAHAFIDHINA.
Enyi wahafidhina msiotaka mabadiliko katika Tanzania yetu ninani aliyewaroga?
Je, uhafidhina sio tabia ya ubinafsi uliokomaa kwamba hubadiliki na hupokei ushauri wa mtu kutoka upande wa pili?
Wahafidhina nawauliza. Je, huo niuungwana? Laahasha huo sio uungwana acheni hiyo kitu.