Je, uhuru wa kweli wa zanzibar ni upi; Mwaka 1963 au 1964?

Je, uhuru wa kweli wa zanzibar ni upi; Mwaka 1963 au 1964?

gosikulu

Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
71
Reaction score
51
Kama title inavyojieleza,wanahistoria tunakanganyika sana juu ya suala hili,mohammed shamte ndio muasisi wa zanzibar huru au A karume??karibuni historians
 
Kwa nini useme uhuru wa kweli.. kuna mwengine feki,,??
 
Ukweli mchungu.
John Okello ndiye muasisi wa Zanzibar mpya. Karume alipewa madaraka na Nyerere.
 
Jambo la Msingi lazima ujue nini maana ya uhuru Na Dunia ilikuwa inatambuaje Uhuru kwa kipindi hicho ,ni Kama South Africa wao walikuwa washapata Uhuru 1934 lakini ule Uhuru ulikuwa ni wamakaburu sio wa Watu Africa yaani ni Black people (watu Weusi ) Zanzibar walipata Uhuru Mwaka 1963 kutoka katika Coloni la Mwingereza .Lakini Nchi hii ilikuwa Chini ya utawala wa Kislutani ambao sio Asili ya Zanzibar kama ilivyokuwa Kule South Africa .Mapinduzi ndiyo yalifanya Serikali ya Wazanzibar wenyewe kuiunda ambapo Mwanzo ilikuwa Serikali ya Kislutani.
 
Leo tarehe 12 January ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, nachukua nafasi hii kuwatakia nyote heri na fanaka za Mapinduzi na kukutakieni maadhimisho mema ya sherehe ya kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa watakao shereheka kwa wale wenye kumbukumbu njema, na kwa vile Mapinduzi Matukufu yale pia yaliandamana na umwagaji damu, natoa pole kwa wenye kumbukumbu chungu.
P
 
Jambo la Msingi lazima ujue nini maana ya uhuru Na Dunia ilikuwa inatambuaje Uhuru kwa kipindi hicho ,ni Kama South Africa wao walikuwa washapata Uhuru 1934 lakini ule Uhuru ulikuwa ni wamakaburu sio wa Watu Africa yaani ni Black people (watu Weusi ) Zanzibar walipata Uhuru Mwaka 1963 kutoka katika Coloni la Mwingereza .Lakini Nchi hii ilikuwa Chini ya utawala wa Kislutani ambao sio Asili ya Zanzibar kama ilivyokuwa Kule South Africa .Mapinduzi ndiyo yalifanya Serikali ya Wazanzibar wenyewe kuiunda ambapo Mwanzo ilikuwa Serikali ya Kislutani.

Je utawala wa ASP ulikua wa asili Zanzibar?
 
Kama title inavyojieleza,wanahistoria tunakanganyika sana juu ya suala hili,mohammed shamte ndio muasisi wa zanzibar huru au A karume??karibuni historians

CCM wanawafanya watanzania ni watu wapumbavu sana.

Uhuru uliotambuliwa mpaka na U.N eti hawautambui !!!!
 
266536046_2267543846718781_5522721367283582313_n.jpg
 
Uhuru ulikua ni 1963 baada ya Hapo ikafuata civil war ya Muda mfupi na waasi wakachukua Nchi,dhambi ya ubaguzi ikazaliwa wakauana weee kundi Fulani la watawala
wakakimbia Nchi wengine wakauawa
Kilichofuata Hapo 1964 ni muungano wa fisi na kondoo
Historia ya kibaguzi ikazaliwa Hapo,kiufupi visiwa vya Unguja na Pemba vilikiua havina wenyeji wa asilia Wote pale ni wahamiaji tu wengine walitoka mashariki ya kati kama waarabu,washihiri,wafarsi nk
Wahamiaji wengine walitoka mainland huko congo,Malawi,kigoma,Unyamwezini,umatumbini nk
Ila Sasa Kuna kundi likawa Mabwana na kundi ni watwana
Ajabu Sasa baadae watwana wakajiona Wana haki na visiwa vile kuliko wenzao Ili Hali Wote ni wa kuja!
Yakatokea ya kutokea!
 
Leo tarehe 12 January ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, nachukua nafasi hii kuwatakia nyote heri na fanaka za Mapinduzi na kukutakieni maadhimisho mema ya sherehe ya kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa watakao shereheka kwa wale wenye kumbukumbu njema, na kwa vile Mapinduzi Matukufu yale pia yaliandamana na umwagaji damu, natoa pole kwa wenye kumbukumbu chungu.
P

Leo tarehe 12 January ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, nachukua nafasi hii kuwatakia nyote heri na fanaka za Mapinduzi na kukutakieni maadhimisho mema ya sherehe ya kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa watakao shereheka kwa wale wenye kumbukumbu njema, na kwa vile Mapinduzi Matukufu yale pia yaliandamana na umwagaji damu, natoa pole kwa wenye kumbukumbu chungu.
P
 
Ufafanuzi toka GT wa JF. Baada ya mapinduzi ya 1963 Zanzibar iliendelea kuwa huru?
1. Nani mkuu wa majeshi kwa sasa nchini Zanzibar?
3. nani Waziri wao wa mambo ya ndani kwa sasa?
4. Nitajie balozi mmoja anaeiwakilisha nchi ya Zanzibar nje ya nchi.
Zanzibar ilipata uhuru 10/12/1963,hayo mengine ni mavamizi.Baada ya uhuru huo,Zanzibar akaomba na kupewa uanachama ya UN.
 
Back
Top Bottom