Je, Uingereza iko responsible na Wahindi wa Tanzania?

Je, Uingereza iko responsible na Wahindi wa Tanzania?

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Nauliza hivi kwa maana wao (Waingereza) ndiyo waliowaleta Wahindi Tanzania kutokea India/Pakistani, nakumbuka pia wakati wa Amini Uganda wengi wa Wahindi walikimbilia Uingereza, Kanada au Australia (English commonwealth).

Sasa je, Uingereza inawajibika na maisha ya Wahindi hapa Tanzania? Kwa maana hata Manji kakimbilia Kanada (English commonwealth).
 
Ndiyo, kwa afrika aliwatumia sana wahindi
Any way ndiyo tushakuwa duguu moja

Ova
 
90% ya wahindi ndoto zao ni kuishi Canada/ England.

Na matajiri wengi wa Kihindi wana uraia Pacha.
Either England or Canada .

Kwao hizo inchi ni salama zaidi kuishi na hata kuweka pesa zao.
 
Sio wahindi wa TZ tu, hata sisi pia, ila hua tunshindwa kuzitumia vizuri tu Fursa.

Wakati wa ukoloni nchi zinazotawaliwa na U.K raia wake waliruhusika kumove from nchi moja kwenda nyengine ambayo pia ilikua ni koloni la U.K , Kwahiyo ilipofika muda wa kutoa uhuru waingereza waliwapa option wale ambao chimbuko lao halikua pale wanapoishi kwa maana wana asili ya koloni jengine la U.K kuwa wachugue uraia either U.K au kwenye ile nchi wanayoishi. na ndio kilichotokea TZ. wako waliochagua U.K na wengine walibaki kuwa raia wa Tanganyika na Zanzibar.
 
Back
Top Bottom