Je, ujauzito wa mwezi mmoja unahesabika kama kiumbe?

Je, ujauzito wa mwezi mmoja unahesabika kama kiumbe?

Finest

Member
Joined
Mar 27, 2015
Posts
49
Reaction score
14
Habari wanaJF,

Nina swali linanitatiza. Je,mimba ya mwezi mmoja kinakua tayari ni kiumbe au ni nini?

Naomba jibu la kibaiolojia tafadhali!
 
Kwa mtazamo wa Kiimani hicho ni kiumbe, bali katika sayansi hicho hakijawa kiumbe.
 
Kuna mauwaji ya halaiki yalisha fanyika hapa!
 
Habari wanaJF,

Nina swali linanitatiza. Je,mimba ya mwezi mmoja kinakua tayari ni kiumbe au ni nini?

Naomba jibu la kibaiolojia tafadhali!
Yes, fertilization tayari and therefore the rudiments of a bay to come are there
Habari wanaJF,

Nina swali linanitatiza. Je,mimba ya mwezi mmoja kinakua tayari ni kiumbe au ni nini?

Naomba jibu la kibaiolojia tafadhali!

X2604-E-23.png

Angalia picha hizo
 
mtoto huyo tena ana roho tayari! ubarikiwe!
 
Back
Top Bottom