Je, ukichukua Uraia wa kigeni huna haki ya kurithi?

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Binti mmoja alikwenda masomoni Urusi na kuamua kuchukua Uraia huko

sasa amerudi Tanzania Kutembelea Nduguze na Kutaka Nyumba yao iuzwe wagawane lakini dada yake amemwambia hastahili kwa sababu yeye si Raia wa Tanzania tena

je ni kweli?
msaada wa kujazia
 
Mimi ni wakili, nina law firm hapa town. If you interested tuonane kwa ushauri
sawa nitamshauri aje kwako bakilana-eric lakini mlalamikaji yupo urusi kwa sasa akipiga nitampa maelekezo then will come back
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…