Je ukijamiiana na mtu mwenye UKIMWI, utaathirika?

UKIMWI ni dhana au IMANI.
Ukiuamini utakupata.

Mimi nina access na viral samples,kama hautojali naomba nikufanyie intravenous injection ya cc chache tu kwenye mwili wako halafu utatupa mrejesho na utawasaidia sana waTZ waepukane na huu utapeli
 
Mimi nina access na viral samples,kama hautojali naomba nikufanyie intravenous injection ya cc chache tu kwenye mwili wako halafu utatupa mrejesho na utawasaidia sana waTZ waepukane na huu utapeli
Yuko nabii FRANK
huyu yupo Tanga
Yeye siku nitamfunga kamba nikuletee
manake kachangia wengi kufa
 
Daaaaa aloooo kweli serikali ina bidi ifanye kazi ya ziada kweli kweli la sivyo tutawapoteza wengi
 
Ina wezekana ila kwa asilimia chache sana b' cause sehemu za siri za mwanamke ni delicate sana kwa hyo uwezekano wa yeye kua na michibuko hata kabla ya sex ni kubwa sana.
Kwa ushauri;
Jitahd kua unatumia kinga kwa kufuata maelekezo yote maana najua watu wachache sana wanaofuata maelekezo ndo maana unakuta MTU katumia kinga na bado kapata maambukizi, take care mtanzania mwenzangu. Kwa mfano MTU anajivurisha yy mwenyewe kinga ni hatari sana ukikutana na musicha mwenye virusi mchubuko ukatokea na we ukashka tu AF ukawa na jeraha kwa vdole inakua hatare.
Pili kushka uken kabla ya tendo au baada itapelekea kupata maambukizi ikitokea ukawa na jeraha
Tatu French kiss.pia midomo yetu wanadamu IPO kwenye hatari kubwa ya kupata michubuko kwa mfano wakati wa kula,wakati wa kuswaki.
So,ndo maana usipo zingatia hayo,ukifanya mapenzi na muasirka wa ukimwi upo kwenye chance kubwa ya kuambukizwa hata kama umetumia kinga
 
Mi nishawala sana mkuu .we tafuna tu maisha yenyewe mafupi
 
Nyuma ya huu ugonjwa wa ukimwi kuna siri nzito sana ambayo miaka sio mingi inaenda kufichuka, miaka km 15 au 20 mbele ukimwi utakuwa unaongelewa kwa nadra sana ama kutoongelewa kabisa maana walioleta hili sekeseke washanufaika nalo na pia uelewa wa watu unazidi kukua na kufanya watu wahoji sana kuhusu huu ugonjwa na wahusika kushindwa concrete evidence, ni mawazo yangu tu
 
ukimwi hautishi mkuu unaeza upata kwa njia yyt magonjwa hatari ni kisukari na kansa watu wanaishi vizur na vvu uku wana afya njema cha muhimu ni ukiupata kubali matokeo pia usiweze watu wanazaa na familia inakua pia ila usiuogope kabisa mkuu ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…