Je ukishinda bahati nasibu, unaweza kuomba usipigwe picha na jina lako lisitangazwe?

Je ukishinda bahati nasibu, unaweza kuomba usipigwe picha na jina lako lisitangazwe?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Shalom Shalom vijana kwa wazee, mabibi na mabwana. Amani iwe nanyi.

Nina swali fupi ila muhimu ningependa kupata mwongozo wa kisheria kwa wale wenye ufahamu wa jambo hili.

Chukulia umeshinda katika Jackpot katika Betting, lakini kutokana na sababu mbalimbali za kiusalama, ulinzi na ustawi wa maisha yako, unapendelea ushindi wako usiwekwe wazi kwa maana ya jina lako lisitangazwe au usipigwe picha.

Najua makampuni ya betting wanataka na kupendelea washindi watangazwe kwa ajili ya promotion zao ili pia wajilinde wasionekane matapeli, kwa hiyo hili nadhani wamelibana na wameliweka kwenye T&C zao.

Nadhani niliwahi kusikia kuna nchi au maeneo unaweza kufungua Kampuni au Trust ikawa mwakilishi wa kupokea pesa yako kwa wale wanaopenda kubaki "anonymous" au "asiyejulikana".

Nimeanza kusikia harufu za mashuka ya kimasai.
 
Unamjua huyu Kibopa?

1725280612134.png
 
Shalom Shalom vijana kwa wazee, mabibi na mabwana. Amani iwe nanyi.

Nina swali fupi ila muhimu ningependa kupata mwongozo wa kisheria kwa wale wenye ufahamu wa jambo hili.

Chukulia umeshinda katika Jackpot katika Betting, lakini kutokana na sababu mbalimbali za kiusalama, ulinzi na ustawi wa maisha yako, unapendelea ushindi wako usiwekwe wazi kwa maana ya jina lako lisitangazwe au usipigwe picha.

Najua makampuni ya betting wanataka na kupendelea washindi watangazwe kwa ajili ya promotion zao ili pia wajilinde wasionekane matapeli, kwa hiyo hili nadhani wamelibana na wameliweka kwenye T&C zao.

Nadhani niliwahi kusikia kuna nchi au maeneo unaweza kufungua Kampuni au Trust ikawa mwakilishi wa kupokea pesa yako kwa wale wanaopenda kubaki "anonymous".

Nimeanza kusikia harufu za mashuka ya kimasai.
Mkuu unataka ubunye peke yako hilo zali? Au unaogopa walokole wenzako wanasema kamari ni dhambi?
 
Ukishaambiwa terms & conditions apply, maana yake ukishiriki umeshakubali kufuata masharti yao, sasa kama kuficha sura haikuwa miongoni mwa hizo terms & conditions zao, basi unaweza kuwashtaki kama utashinda halafu walazimishe utambulike.
 
Gaming rules kama ya sportpesa unapojiunga zimeweka wazi washindi wa dau kubwa kama jackpot picha zao zitatumika kwa promotion,sasa kama sheria umezisoma na ukakubali kujisajili unakwepa vipi kuonekana
 
Shalom Shalom vijana kwa wazee, mabibi na mabwana. Amani iwe nanyi.

Nina swali fupi ila muhimu ningependa kupata mwongozo wa kisheria kwa wale wenye ufahamu wa jambo hili.

Chukulia umeshinda katika Jackpot katika Betting, lakini kutokana na sababu mbalimbali za kiusalama, ulinzi na ustawi wa maisha yako, unapendelea ushindi wako usiwekwe wazi kwa maana ya jina lako lisitangazwe au usipigwe picha.

Najua makampuni ya betting wanataka na kupendelea washindi watangazwe kwa ajili ya promotion zao ili pia wajilinde wasionekane matapeli, kwa hiyo hili nadhani wamelibana na wameliweka kwenye T&C zao.

Nadhani niliwahi kusikia kuna nchi au maeneo unaweza kufungua Kampuni au Trust ikawa mwakilishi wa kupokea pesa yako kwa wale wanaopenda kubaki "anonymous" au "asiyejulikana".

Nimeanza kusikia harufu za mashuka ya kimasai.
Yani usitangazwe ili waonekakane matapeli?
 
Shalom Shalom vijana kwa wazee, mabibi na mabwana. Amani iwe nanyi.

Nina swali fupi ila muhimu ningependa kupata mwongozo wa kisheria kwa wale wenye ufahamu wa jambo hili.

Chukulia umeshinda katika Jackpot katika Betting, lakini kutokana na sababu mbalimbali za kiusalama, ulinzi na ustawi wa maisha yako, unapendelea ushindi wako usiwekwe wazi kwa maana ya jina lako lisitangazwe au usipigwe picha.

Najua makampuni ya betting wanataka na kupendelea washindi watangazwe kwa ajili ya promotion zao ili pia wajilinde wasionekane matapeli, kwa hiyo hili nadhani wamelibana na wameliweka kwenye T&C zao.

Nadhani niliwahi kusikia kuna nchi au maeneo unaweza kufungua Kampuni au Trust ikawa mwakilishi wa kupokea pesa yako kwa wale wanaopenda kubaki "anonymous" au "asiyejulikana".

Nimeanza kusikia harufu za mashuka ya kimasai.
Kwa bongo nadhani ni ngumu kwakuwa ndio kwanza utatumika kama tangazo la biashara yao
 
Shalom Shalom vijana kwa wazee, mabibi na mabwana. Amani iwe nanyi.

Nina swali fupi ila muhimu ningependa kupata mwongozo wa kisheria kwa wale wenye ufahamu wa jambo hili.

Chukulia umeshinda katika Jackpot katika Betting, lakini kutokana na sababu mbalimbali za kiusalama, ulinzi na ustawi wa maisha yako, unapendelea ushindi wako usiwekwe wazi kwa maana ya jina lako lisitangazwe au usipigwe picha.

Najua makampuni ya betting wanataka na kupendelea washindi watangazwe kwa ajili ya promotion zao ili pia wajilinde wasionekane matapeli, kwa hiyo hili nadhani wamelibana na wameliweka kwenye T&C zao.

Nadhani niliwahi kusikia kuna nchi au maeneo unaweza kufungua Kampuni au Trust ikawa mwakilishi wa kupokea pesa yako kwa wale wanaopenda kubaki "anonymous" au "asiyejulikana".

Nimeanza kusikia harufu za mashuka ya kimasai.
Ni vizuri upigwe picha ili jamii ijue tabia yako halisi kuwa ni mcheza kamari. Hii ficha ficha utashangaa hata mpaka viongozi wa dini wamepiga kambi kwenye kubeti.
 
Gaming rules kama ya sportpesa unapojiunga zimeweka wazi washindi wa dau kubwa kama jackpot picha zao zitatumika kwa promotion,sasa kama sheria umezisoma na ukakubali kujisajili unakwepa vipi kuonekana
Wabetiji wengi huwa hatusomi kabisa T&Cs za bookies.
Sisi tunaangalia tu sehemu za kutick na accept.
Ukiona maelezo yoyote marefu unascroll fasta tu.
 
Back
Top Bottom