....mbili b na o au bo, basi waulize wanachama, mashabiki na wapenzi wa JF ambao wiki hii waliathirika kutokana na ukumbi wao maarufu kulazimika kubadilisha jina kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao.
....mbili b na o waulize wanachama, mashabiki na wapenzi wa JF ambao wiki hii waliathirika kutokana na ukumbi wao maarufu kulazimika kubadilisha jina kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao.
ha, ha, Bubu haya uyasemayo ni swadakta kabisa maana sasa hivi tunataka kuwa kama wenzetu ambao namba 13 kwao ni mkosi au tarehe 29 Febr yaani wanafanya makusudi ili watutoe nje ya uwanja lakini bado tunakomaa nao kiubishi ubishi.