IPILIMO
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,819
- 801
Wadau mnao fahamu please, naomba kujua kama umeanzisha blog yako na unaitumia kwa mambo yako, je unaweza kuiendesha kibiashara pia, YAANI richa ya mambo yako je unawezaje kuitumia kujipatia japo kipato kidogo? mfano kupost ADs za wengine zilizo kibiashara nk
Aulizaye anataka kujua!
Aulizaye anataka kujua!