T Tomito Tomato Senior Member Joined Feb 11, 2017 Posts 167 Reaction score 444 Mar 1, 2017 #1 Kila siku nimekuwa nikiona Wachumi wetu kadhaa wakisema huku wakituonyesha kupitia data kuwa Uchumi wa Tanzania umekuwa lakini nikiangalia maisha halisi ya Mtanzania hayahakisi kile kinachohubiriwa. Hii imekaaje?
Kila siku nimekuwa nikiona Wachumi wetu kadhaa wakisema huku wakituonyesha kupitia data kuwa Uchumi wa Tanzania umekuwa lakini nikiangalia maisha halisi ya Mtanzania hayahakisi kile kinachohubiriwa. Hii imekaaje?