Je ulifaham kuwa Ziwa Victoria linebinafsishwa kwa Wazungu kwa muda wa takribani miaka 77 basi kama hukufaham hyo ndo historia fupi sasa je una maoni gani kuhusu jambo hili ambalo lingefanyika enzi za utawala wa Rais Benjamini William Mkapa na Waziri Mkuu Fredrick Truwai Sumaye changia pamoja nami......