Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,020
Niwapongeze wamiliki wa timu ya azam japo bado wanasafari ndefu ya kwenda ila ndo timu iliyopika wachezaji wengi walipo taifa stars. Mimi sio mjuvi sana wa mpira ila kama kuna mchezaji nimemusaau mtamuongeza kwenye list.
1.Aishi manura
2.Gadiel michel mbaga
3.Erasto nyoni
4.Aggrey Morris ambross
5.Faridi Mussa
6.Shabani Idd Chilunda
7.John Rafel Bokko
8.Immid Mao Mukami
Alafu fahamu kama sio majelaa kapombe angeitwa. Nakwenye hyo list ukimtoa Shabani chiluda waliobaki wameenza kwenye mechi zidi ya uganda. Kweli mpira ni uwekezaji.
1.Aishi manura
2.Gadiel michel mbaga
3.Erasto nyoni
4.Aggrey Morris ambross
5.Faridi Mussa
6.Shabani Idd Chilunda
7.John Rafel Bokko
8.Immid Mao Mukami
Alafu fahamu kama sio majelaa kapombe angeitwa. Nakwenye hyo list ukimtoa Shabani chiluda waliobaki wameenza kwenye mechi zidi ya uganda. Kweli mpira ni uwekezaji.