Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hajambo Uncle, Salam zitafika!
Wengine mnatukanana na baba zenu wazazi humu bila kujua. Kuweni na adabu 😂😁1986 hata mama yangu hajapevuka bado!
Ujanja wote huo kumbe kura umeanza kupiga wakati wa JK?....hahahaaaa!Hiki kitabu nilisoma mwaka 1986 Sisimba Shule ya Msingi.
ilikuwaje sarasa la pili, Mwalimu Benard, mama yake Edmund ndiye alikuwa mwalimu wetu wa darasa, je wewe ulikuwa wapi uliposoma kitabu hiki?
😝 😝 na huu ndy uzuri wa Jf, hakuna anayekujua ukojeWengine mnatukanana na baba zenu wazazi humu bila kujua. Kuweni na adabu 😂😁
Bwasheee we ulikua wapi kipindi hicho?Ujanja wote huo kumbe kura umeanza kupiga wakati wa JK?....hahahaaaa!
Nilikuwa UVCCM na akina Mbowe na Mbatia!Bwasheee we ulikua wapi kipindi hicho?
Kuanzia kuanza kwa vyama vingi hamna uchaguzi ambao sijapiga kuraUjanja wote huo kumbe kura umeanza kupiga wakati wa JK?....hahahaaaa!
Kidogo tuMzee baba kumbe umri umeenda endamo
Kwahiyo tangu uanze kupiga kura za urais hujawahi kufaulu bwashee?Kuanzia kuanza kwa vyama vingi hamna uchaguzi ambao sijapiga kura
Kufaulu ni kushindwa Mara nyingi na kufanikiwa Mara mojaKwahiyo tangu uanze kupiga kura za urais hujawahi kufaulu bwashee?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nilikuwa bado kiunoni kwa baba.