Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Oct 19, 2020 Thread starter #41 Mehek said: Mi hata sikijui Click to expand... Ntakupa
N ngulyabhule JF-Expert Member Joined Apr 5, 2020 Posts 226 Reaction score 377 Oct 19, 2020 #42 Bujibuji said: Hiki kitabu nilisoma mwaka 1986 Sisimba Shule ya Msingi. ilikuwaje sarasa la pili, Mwalimu Benard, mama yake Edmund ndiye alikuwa mwalimu wetu wa darasa, je wewe ulikuwa wapi uliposoma kitabu hiki? View attachment 1591807 Click to expand... Dah kweli we wakishua SISIMBA?! Enzi hiyo ndo ilikuwa zaidi ya St Mary! Sisi wa Ruanda Nzovwe mlituona sawa na St Kayumba!
Bujibuji said: Hiki kitabu nilisoma mwaka 1986 Sisimba Shule ya Msingi. ilikuwaje sarasa la pili, Mwalimu Benard, mama yake Edmund ndiye alikuwa mwalimu wetu wa darasa, je wewe ulikuwa wapi uliposoma kitabu hiki? View attachment 1591807 Click to expand... Dah kweli we wakishua SISIMBA?! Enzi hiyo ndo ilikuwa zaidi ya St Mary! Sisi wa Ruanda Nzovwe mlituona sawa na St Kayumba!