It was a happiest hectic event; I remember I bought it of a Jewelery store; and searched for her all the city stores and saloons; then lastly I found her busy showering while wet and not wild I gave her the ring and pleaded the same words will........me? But it was fun to get to do it and the expectation of life together as hus and wif... It is a pretty event and I pray it not to ever repeat again in my entire life.
Hizi topic nyingine mbona zipo ki-western-western. Kwa mfano mi wifey alikuwa knocked up so ikabidi tu iwe ndo hivyo lakini msela I'm still ballin' around so hakukuwa na mbinu wala romance kivile ilikuwa make or break at the time. Godamn it, I miss ma freedom. Washkaji msioe ndoa ni full msala unless your woman is knocked up or something!! Teh teh
nilishangaa sana kuanzia wiki inaanza ananiambia jpili lazima twende church wote,kila cku ananikumbushia jpili, jpili! jpili akanical asubuhi sana akiniomba nijiandae kwa church, alikuwa na marafiki zake, katikati ya misa kwa cc wakatoliki kuna kupeana amani ya bwana, hapo ndipo aliponivalisha pete! nilishindwa kuendelea na misa......
tehteh teh , duh you made my day!
yani hapo kwakweli ulikua huna ujanja ungekataa tuu, ujue UNGEPATA DHAMBI hapo hapo!, duuuh, hiyo trick ya huyo mshkaji nimeikubali.
...gal anamuuliza mr mpenzi wangu yuko wapi jamani japo nimuone, mpenzi katoka ndani akijifanya anaumwa, mdada kwenda kum hug na hapo hapo kavalishwa engagement, mdada alilia, mana katoka kitandani na nite dres nywele kitimu timu anamuwahi boy ampeleke hosp kumbe ndio engagement yake hivyo......nilibali nimeduwaaa.
kwanza i was shocked! mana kilikuwa ni kitendo cha dk tu, yaani niliwaza hilo wazo kalipata wapi nikakosa jibu!....cku nyingine mdogo wake na mr akamcal mr asubuhi sana kumwambia anaumwa(walikuwa wameshapanga) anahitaji mtu wa kumpeleka hosp, amefika kwa mdogo wake akanical ananiambia nimpitie galfrnd wa mdogo wake niende nae hapo home kwa mdogo wake ili wasaidiane kumpeleka hosp, nimefika nimekuta mrembo kashalia mpaka bac kuckia boy wake yupo hoi, tunafika gal anamuuliza mr mpenzi wangu yuko wapi jamani japo nimuone, mpenzi katoka ndani akijifanya anaumwa, mdada kwenda kum hug na hapo hapo kavalishwa engagement, mdada alilia, mana katoka kitandani na nite dres nywele kitimu timu anamuwahi boy ampeleke hosp kumbe ndio engagement yake hivyo......nilibali nimeduwaaa.
damn π 'surprises' zinazidi kuwa x-treme! ...itafikia siku mtu yupo ndani ya casket wakati wa last respect ananyanyuka, "will you marry me?"
Je sisi tunao penda kujixpress mnaturuhusu hapa jukwaani?
weeeeeeπ,
mkuu hapo lazima utoke nduki nene sana!
Angekuwa mtu mwingine tungemruhusu lakini sio wewe,maana haukawii kuaribu.We ukitaka we jiruhusu mwenyewe au vipi
nilishangaa sana kuanzia wiki inaanza ananiambia jpili lazima twende church wote,kila cku ananikumbushia jpili, jpili! jpili akanical asubuhi sana akiniomba nijiandae kwa church, alikuwa na marafiki zake, katikati ya misa kwa cc wakatoliki kuna kupeana amani ya bwana, hapo ndipo aliponivalisha pete! nilishindwa kuendelea na misa......
Haaaaaaaa! kumbe iwa mnalazimishwa kuolewa! mi nilijua makubaliano tu kama unakubali tuwe tunajixpress wote basi tunafunga ndoa haya bana unavishwa kichwa kichwa utakiona cha moto mbele ya safari.
Haaaaaaaa! kumbe iwa mnalazimishwa kuolewa! mi nilijua makubaliano tu kama unakubali tuwe tunajixpress wote basi tunafunga ndoa haya bana unavishwa kichwa kichwa utakiona cha moto mbele ya safari.