Je ulisha wahi kumkopesha mzazi wako/ mlez pesa?????

Je ulisha wahi kumkopesha mzazi wako/ mlez pesa?????

glass amo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2017
Posts
3,645
Reaction score
4,330
Wakuu.
Natumai mnaendelea vyema.
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hili suala la pesa. Hasa kwa mzazi je alishawahi kukuomba umkopeshe??
Kwa minajili ya kuja kukulipa baada ya muda.
Na ulipo mkopesha alikulipa???
Binafsi juzi alikuja mama akaniomba nimkopesh. Kia's cha pesa kua atanirudishia lakin nilimueleza wazi pesa niliyokua nayo kwa akiba Nina kaz nayo muhimu. Istoshe shida yake haikua ya lazima kua labda ana umwa/anadaiwa/au Hana chakula hapana yeye alitaka amsaidie rafiki yake atoke lumande kwa dhamana.
Baada ya kumpa zimepita siku mbili nikiwaza nikaona n Bora hata hiyo hela nisije kumdai. Maaana nitajiskia vibaya kuona ana nilipa.
Je kwa upande wako wew hii ime kaaje?
 
Swali kwako ni hili
Je wakati unampatia hiyo hela mlikubaliana akurudishie baada ya siku ngapi?
Je siku zimepita au bado ?
Kama zimepita je amekupa?
Je kuna maelezo yoyote ameyatoa kwako kwa kushindwa kwake kufikia makubaliano yenu?
Kama jibu ni HAPANA
Usimdai kausha hilo deni kwenye mizania yako liweke kwenye bad debts
Jifunze kupitia tukio
 
Swali kwako ni hili
Je wakati unampatia hiyo hela mlikubaliana akurudishie baada ya siku ngapi?
Je siku zimepita au bado ?
Kama zimepita je amekupa?
Je kuna maelezo yoyote ameyatoa kwako kwa kushindwa kwake kufikia makubaliano yenu?
Kama jibu ni HAPANA
Usimdai kausha hilo deni kwenye mizania yako liweke kwenye bad debts
Jifunze kupitia tukio
Yani Bado muda hauja pita wa yeye kurudisha Ali sema baada ya wik. So mim mwenyew ndan ya moyo ndo nimejiskia vibaya Kwan naona haita faa Kama mtot kumdai mzaz
 
Sikumkopesha ila nilimwomba aniwekeee

kila nikipata sent namtumia,kila nkipata namtumia

ikafika muda nazitaka hela sasa,

(bwana weee) sitokaa nirudie tena na tena

Balaaa lake najuta mimi

Tumeanza kuongea majuzi juzi tu hapa

ila sirudiii nishasema
 
kama umemkopa fanya kama vile unemsaidia tu hata usimdai wala hata akikupa waweza mwambia afanyie mambo mengine
Lakin kumbuka hiyo pesa mim nilipangia mahesabu yangu wa kumalizia malengo kabla ya mwaka kuisha mkuu
 
Sikumkopesha ila nilimwomba aniwekeee

kila nikipata sent namtumia,kila nkipata namtumia

ikafika muda nazitaka hela sasa,

(bwana weee) sitokaa nirudie tena na tena

Balaaa lake najuta mimi

Tumeanza kuongea majuzi juzi tu hapa

ila sirudiii nishasema
[emoji3][emoji3][emoji3] akikujibu nn ulipo zitaka?
 
Lakin kumbuka hiyo pesa mim nilipangia mahesabu yangu wa kumalizia malengo kabla ya mwaka kuisha mkuu
sasa utamdai mzaz wako kisa pesa yako ulipangia mipango kabla ya mwaka kuisha? Una mkataba na Mungu hat hiyo december utaiona?? Samehe tu ulivopatahiyo hustle hard upate nyingine ya malengo hayo hayo
 
Ananikopeshaga nyingi tu zingine najichukulia ila kumlipa iankua ngumu kweli ila yeye nikimkopesha anaipa.
-mama
 
sasa utamdai mzaz wako kisa pesa yako ulipangia mipango kabla ya mwaka kuisha? Una mkataba na Mungu hat hiyo december utaiona?? Samehe tu ulivopatahiyo hustle hard upate nyingine ya malengo hayo hayo
Amina. Hapo umenishusha ganz thanking
 
Back
Top Bottom