Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,726
Habari wakuu.
Pamoja na kuongelea mafanikio na mikakati yetu ya kujikomboa kimaisha kwa njia halali nimefikiri ni vyema pia tuhadisiane na kuelezeana kuwa ni biashara gani ulishawahi fanya na ilikupeje hasara?
Nafikiri hii itakua kama fundisho kwa wengine watakao taka kufanya biashara kama hio wajue kuchukua tahadhari ya nini chakufanya na nini sio cha kufanya.
Tukumbuke kujaribu na kupata hasara sio kushindwa bali ni kupata fundisho.
Lets share our experiences.
Mimi ntakuja na zangu lukuki tu.
Pamoja na kuongelea mafanikio na mikakati yetu ya kujikomboa kimaisha kwa njia halali nimefikiri ni vyema pia tuhadisiane na kuelezeana kuwa ni biashara gani ulishawahi fanya na ilikupeje hasara?
Nafikiri hii itakua kama fundisho kwa wengine watakao taka kufanya biashara kama hio wajue kuchukua tahadhari ya nini chakufanya na nini sio cha kufanya.
Tukumbuke kujaribu na kupata hasara sio kushindwa bali ni kupata fundisho.
Lets share our experiences.
Mimi ntakuja na zangu lukuki tu.