Katika safari ya ujasiriamali kuna changamoto nyingi sana na hazina mwisho ingawa zina mwanzo, that is why some time tunashauriwa kuwekea biashara zetu bima, kwa sababu kuna mambo mengi sana yanaweza kuhapen na kukurudisha mwanzo wa safari, na risk ziko za aina nyingi kuanzia za kushindwa kuuza, wizi, moto, ushindani kuwa mkubwa na kazalika.
Na hazina mwisho, ila kinacho wezekana huwa ni kuzi minmize tu
Na wewe kama mjasiriamali unajifunza kutokana na hayo unayo yapata, bila kufail huwezi grow, na hakuna mahali pengine popote pale pa kujifunza biashara kama kupitia fail zako, wakina SONY waliweza kusimama baada tu ya kijifunza kupitia kwenye kushindwa kwao,
Hivyo kufaile katika biashara kupo sana na ndo sehemu pekee ya wewe kujifunza, hili la sijui semina za ujasiriamali ni kudanganyana, utaweza kujifunza ujasiriamali kutoka kwako pekee