Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Je ulishawahi kutana na kitu cha kutisha usiki kama mchawi, jini, mnyama basi share na sisi tukio lako hapa. Nianze mimi;
Iikua mwaka 2007 nipo na washkaji wawili tumetoka kucheki muvi za usiku saa saba, katika tembea yatu ana kwa ana tunakutana na "JOGOO" nikisema jogoo jogoo kweli kwa ukubwa alikua kimo cha kondoo. Bwanaa wee mbio tulizokimbia kushinda zile za kwenye muvi ya KUNG FU HUSTLE jogoo alituunganishia mpaka karibu na nyumbani kabisa, mpaka leo hua najiuliza sijui atakua yule aliyembeba Pazi shule ya msingi? Toka siku hiyo nilikoma kutembea usiku.
Hiyo ilikua Kigoma.
Tukio la pii.
2012 tukiwa tumetoka kwenye magroup yetu ya kujisomea usiku tunawasindikiza majamaa gheto kwao wakati tunarudi tukakutana na Ndama wa mguu mmoja aisee tulikimbia mlango wa nyumba tuliufungua kwa Buti la Shaolin soka. Toka siku hiyo kuanzia saa nne usiku hunitoi nyumbani hata kwa dawa.
Please share na wewe.
Iikua mwaka 2007 nipo na washkaji wawili tumetoka kucheki muvi za usiku saa saba, katika tembea yatu ana kwa ana tunakutana na "JOGOO" nikisema jogoo jogoo kweli kwa ukubwa alikua kimo cha kondoo. Bwanaa wee mbio tulizokimbia kushinda zile za kwenye muvi ya KUNG FU HUSTLE jogoo alituunganishia mpaka karibu na nyumbani kabisa, mpaka leo hua najiuliza sijui atakua yule aliyembeba Pazi shule ya msingi? Toka siku hiyo nilikoma kutembea usiku.
Hiyo ilikua Kigoma.
Tukio la pii.
2012 tukiwa tumetoka kwenye magroup yetu ya kujisomea usiku tunawasindikiza majamaa gheto kwao wakati tunarudi tukakutana na Ndama wa mguu mmoja aisee tulikimbia mlango wa nyumba tuliufungua kwa Buti la Shaolin soka. Toka siku hiyo kuanzia saa nne usiku hunitoi nyumbani hata kwa dawa.
Please share na wewe.