Je ulishawahi kwenda na mwanamke gest au geto alafu akakataa kukupa penzi

Je ulishawahi kwenda na mwanamke gest au geto alafu akakataa kukupa penzi

Alejandroz

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2017
Posts
329
Reaction score
413
Je, ulishawahi kwenda na mwanamke gest au geto na kulipa gharama zote ikiwemo chumba, chakula, nauli n.k alafu akakataa kukupa penzi kama mlivyokubaliana?

Ulichukua hatua gani au utachukua hatua gani ukikutana na hali hii?
 
Unauliza kwenda na mwanamke au mtoto wa jinsia ya kike?

Ukienda na mtoto, sitashangaa akikataa!!! Yaani umemwambia "twende mle ndani nikakununulie ashkrimu" mnafika humo, unataka kumfanya mchezo mbaya... sasa kwanini asikatae?
 
Huwa simlazimishi wala sioneshi kumind.

Lakini akija kukaa kwenye reli, unafumua mishono yote hadi treni linatoka relini kisha baada ya hapo ni Baba Jeni baibai
[emoji2][emoji2]
Sawa boss
 
Unauliza kwenda na mwanamke au mtoto wa jinsia ya kike?

Ukienda na mtoto, sitashangaa akikataa!!! Umemdanganya "twende mle ndani tukale ashkrimu" mnafika humo, unataka kumfanya mchezo mbaya... sasa kwanini asikatae?
Namaanisha mtu mwenye jinsia ya kike mkuu [emoji2],, ila najaribu kukuelewa kuwa kufanya hivyo ni utoto. Karibu tena
 
Kwani mpaka anafika ndani ya guest hajui nini kinachoenda kutokea? Au anajua mnaenda kufanya sensa ya watu huko guest!

Akizingua unamwambia arudishe gharama zako zote ulizopoteza, mwisho acha kutembea na vitoto vidogo ndo visumbufu mtu/mwanamke mzima ana akili zake timamu mpaka anafika guest anajua what's next..
 
Kwa nini akatae , ikiwa hukumjuza kinachoenda kutokea atakataa ila kama ulimjuza atakubali
 
Kwani mpaka anafika ndani ya guest hajui nini kinachoenda kutokea? Au anajua mnaenda kufanya sensa ya watu huko guest!

Akizingua unamwambia arudishe gharama zako zote ulizopoteza, mwisho acha kutembea na vitoto vidogo ndo visumbufu mtu/mwanamke mzima ana akili zake timamu mpaka anafika guest anajua what's next..
Nakupata vyema boss
 
inakera mno, niliwahi lipia lodge alafu akanikazia ad asubaa na nilikuwa na kipururu sana ila nikapotezea akaenda zake kama myahudi.
 
Back
Top Bottom