Je, uliwahi kupata nafuu kutokana na muwasho mkali wa ngozi?

Je, uliwahi kupata nafuu kutokana na muwasho mkali wa ngozi?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Kuna aina ya miwasho ambayo ni mikali mno katika sehemu mbali mbali za mwili kwa maana haitibiki kirahisi na inasumbua kwa muda mrefu kweli.

Dawa kama predilone na cetrizine wala tube za kujipaka kama skderm na nyingine nyingi zinagonga mwamba bila msaada wowote.

After kwenda hospitali unaweza kupata mrejesho wa tatizo na tiba.

Kama uliwahi kupitia hali hii na ukapata tiba, ulitumia njia gani au dawa gani?

Karibuni.
 
Back
Top Bottom