Uyo wa tano ana sura mbaya kweli
Kumbe dada me na wewe tumezaliwa awamu hiyo ya baba wa taifa
Mhenga
Aiseee, shkamoo babu!Nilipanda mti wa uhuru. Kwa mantiki hiyo ilikuwa hata kabla ya Sir E. Twining
Ulijua mimi mtoto mwenzio?[emoji13]Mhenga
HahaUlijua mimi mtoto mwenzio?[emoji13]
Aiseee, shkamoo babu!
Kwendaa umvishe nani nepi mtu umezaliwa enzi za mkapa...wakati huo mimi nilikuwa na uwezo wa kukuzaaHaha
Nimekuvalisha nepi ujue
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sasa endelea kusoma hiyo 97ikudanganye igeuzeKwendaa umvishe nani nepi mtu umezaliwa enzi za mkapa...wakati huo mimi nilikuwa na uwezo wa kukuzaa
97 iko wapi? Ahaa ndio unaniambia Mwaka uliozaliwa sio? Aisee tunapishana na watoto wetu humu[emoji1] [emoji1] [emoji1] sasa endelea kusoma hiyo 97ikudanganye igeuze
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hakyanani hivi kumbe kweli umezaliwa enzi za mkapa ujue nilikuwa najiongelea tu... Kuanzia leo niamkie aisee ole wako ubishe. Nilikuwa sijawahi kuiona daah[emoji1] [emoji1] [emoji1] sasa endelea kusoma hiyo 97ikudanganye igeuze