JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Jaribu kubaki mtulivu, usijibu hata ikiwa unatamani kufanya hivyo
Kulipiza kisasi hakutasuluhisha shida, bali itampa mtu majibu anayotafuta
Chukua 'Screenshot' ya hilo chapisho ulilochafuliwa, utaitumia kama uthibitisho ikiwa utakwenda kuripoti
Upvote
3