Je, umechafuliwa mtandaoni? Fanya yafuatayo

Je, umechafuliwa mtandaoni? Fanya yafuatayo

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210423_155027_571.jpg


Jaribu kubaki mtulivu, usijibu hata ikiwa unatamani kufanya hivyo

Kulipiza kisasi hakutasuluhisha shida, bali itampa mtu majibu anayotafuta

Chukua 'Screenshot' ya hilo chapisho ulilochafuliwa, utaitumia kama uthibitisho ikiwa utakwenda kuripoti
 
Upvote 3
View attachment 1761524

Jaribu kubaki mtulivu, usijibu hata ikiwa unatamani kufanya hivyo

Kulipiza kisasi hakutasuluhisha shida, bali itampa mtu majibu anayotafuta

Chukua 'Screenshot' ya hilo chapisho ulilochafuliwa, utaitumia kama uthibitisho ikiwa utakwenda kuripoti
Good lakini hii sio solution bora, solution ni ku deal na chanzo na sio matokeo, kama tunataka ku deal na chanzo basi wazazi lazima waboreshe malezi ya watoto hasa wa kike.
 
View attachment 1761524

Jaribu kubaki mtulivu, usijibu hata ikiwa unatamani kufanya hivyo

Kulipiza kisasi hakutasuluhisha shida, bali itampa mtu majibu anayotafuta

Chukua 'Screenshot' ya hilo chapisho ulilochafuliwa, utaitumia kama uthibitisho ikiwa utakwenda kuripoti
Peleka screenshot kwa mganga fastaaa, Kuna radi Kama mia Saba mpyaaa, zinakuja na kimbunga kijacho jumapili.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom