Je, umechafuliwa mtandaoni? Fanya yafuatayo

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Jaribu kubaki mtulivu, usijibu hata ikiwa unatamani kufanya hivyo

Kulipiza kisasi hakutasuluhisha shida, bali itampa mtu majibu anayotafuta

Chukua 'Screenshot' ya hilo chapisho ulilochafuliwa, utaitumia kama uthibitisho ikiwa utakwenda kuripoti
 
Upvote 3
Good lakini hii sio solution bora, solution ni ku deal na chanzo na sio matokeo, kama tunataka ku deal na chanzo basi wazazi lazima waboreshe malezi ya watoto hasa wa kike.
 
Peleka screenshot kwa mganga fastaaa, Kuna radi Kama mia Saba mpyaaa, zinakuja na kimbunga kijacho jumapili.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…