Je umechaguliwa course ya ndoto yako?

mimi bado sana,nilichaguliwa course ya ndoto za HESLB bado JWTZ
 

pamoja chunda bad singasingaaaa spencooo Mbrazili! Me pia out of class proffession! i like to be presenter, i mean being in celebrities industry....
 
Last edited by a moderator:
From certificate(IIIA) of education to degree of education, It is my dream thanks God.
 
pole next time usipende kusikiliza ya watu...vipi umembeba mtu kam wewe ni wa udsm
 
Bachelor of Veterinary Medicine (BVM) - SUA hiyo mazee, kozi ya ndoto yangu pamoja na ugumu wako nitakomaa na wewe mpaka kieleweke!! Huku nikimtanguliza MUNGU mbele yangu!!
 
Bachelor of Veterinary Medicine (BVM) - SUA hiyo mazee, kozi ya ndoto yangu pamoja na ugumu wako nitakomaa na wewe mpaka kieleweke!! Huku nikimtanguliza MUNGU mbele yangu!!

safi sana,kuna my brother alisoma hyo kitu hapo sua,kamaliza mwaka 2004,leo ninavoandka hii post,ndo nimetoka kunyweshea maji kaghorofa kake ka pili alikokajenga hapa jijini arusha..hyo kitu nzuri sana dogo,kakaze 2 ingawa shule yake inahtaji kujitoa ufahamu kwa muda.over
 
Asante Mkuu ila usiniite dogo si ajabu mimi ni rika moja na kaka yako!! Mkuu msuli wa hiyo makitu inayoitwa BVM naufahamu angalau kwa uchache!! Hivyo nimekubali kujitoa muhanga!!
 
mi binafsi nlipendelea accounts ingawa wamentupa statistics ila bdo ntatimiza dream yangu kwa kusomea cpa .....mzumbe pale
 
nimechaguliwa geoinformatics aridhi lakini ndoto yangu haijatimia..ndoto ilikuwa kusoma petroleum engenearng kwa sasa nimeamua kurudi nyuma na kuanza na dploma ya petroleum ili ndoto yangu itimie..kama kuna ushauri naomba nishauriwe
 
Hongera sana!,,nawatakia kila la kheri katika maisha mapya ya Coursework,University Examination,unevitable strikes and demonstrations!
 
My dream was to take LLB and to be a LAWYER but it ruined by tcu as I selected to join BA Public Relation and Marketing that I graduated this year.
What can I do mye dream to come true??
 
Asante Mkuu ila usiniite dogo si ajabu mimi ni rika moja na kaka yako!! Mkuu msuli wa hiyo makitu inayoitwa BVM naufahamu angalau kwa uchache!! Hivyo nimekubali kujitoa muhanga!!

haina noma mkuu,nimekusoma.over
 
t's too late,the race of chasing my dreams has bcame difcult 2 finish it..i see no finishn line..! goodby M.D...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…