Je umeshatoa maoni ya katiba mpya?

Je umeshatoa maoni ya katiba mpya?

Mkombozi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2008
Posts
844
Reaction score
476
Je ni wangapi humu JF wameshatoa maoni yao ya katiba mpya?Kwenda kwa tume moja kwa moja,njia ya mkusanyiko wa hadhara,kwa maandishi n.k.Nyoosha mkono useme mimi ni tayari,usiseme uongo.Kama bado usije ukalalamika kwa chochote huko baadae
 
Back
Top Bottom