Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 141
akutake radh ya nini?kwan kufananishwana mwanamke tusi?
I'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali
eti dah! Ila wangu hapo unapishana na mm kidogo ila wanawake nyny ndo washenz sana yan hv kwanini mnakuwa na roho za namna hyo mana hamridhiki hata mmewe nini hamlidhik yan mnaweza mkawa na wanaume miambil lakn kila atakae kufuata bado utasema ndio hv hamuon mnajishusha cv m2 wangu. Khs kuwachukia wanaume hyo co dawa dawa ni kuwapima m2 wangu ila kwa nyny wala hampmik take care
I'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali
I'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali
Dush! Like someone else said..try to make each day a valentine..kwamfano, I was on of out of country workshop and only arrived on saturday,
then we had an out of town workshop, but while others left a day earlier..I decided to drive in the morning so I can spend one night with family..
And while this workshop is ending tommorow..I decided to drive back home today and suprise him! They were all pleasantly suprised!...
Make each day a valentine! It pays!
However...the downside is to drive extra early tommorow morning! Whoosh!
But doing homework with my daughter..putting little one to sleep..spending quality time with hubby..ahhh priceless!!!
Mhandisi
Unajua Remmy, inawezekana kabisa kunakuwa na cheating before this day... na huyo anayecheat ameweza kuwa-handle wote wawili bila tatizo. Sasa ikifika siku hii muhimu ambayo ndo inaitwa ya wapendanao, sasa inabidi watoke outing...anatoka na nani wakati alikuwa nao wawili au zaidi??? So kinachotokea ni kuchagua mmoja na kuwaaacha wengine kwenye mataa...wakiumia zaidi! Hivyo ndivyo ninavyofikiri. Poleni sana kwa walioumizwa!
Mhandisi tafadhali ndugu, Kiswahili basi mimi napenda thread zako nizielewe vizuri maana nadhani wewe ni wa mfano kwa wake bora kama unayoyasemaga hapa JF ni ya kweli.
yamesha nikuta miaka 8 sasa na tangu kipindi hicho sijawahi kusheherekea siku ya valentine.... nilikuwa na mpenzi wangu tulipendana sana zaid ya miaka 5 tukiwa wapenzi na ndie aliekuwa mume wangu mtarajiwa tangu kipindi hicho hadi leo sitamani tena kuchumbiwa wala kuolewa nimewachukia wanaume
i'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali
i'l never ever trust a man even a dead one.wanaume baba yao mmoja,wanafanana kama machungwa ya kariakoo.nawachukia na siwapendi sana sana nawatumia ninapowahitaji ila kamwe sitafal kwenye trik zao milele.sijawahi kuwa na mpnz valentine yeyote zaid huwa nakuwa peke yangu nikijipa raha.ila huwa inauma kwan sehemu zote ninazokwenda wanakuwa wawili wawili. Ila afadhali hii kuliko hayo maumivu ya wavaa suruali
Wanandg wa JF nimeona 2anzishe jukwaa la waliowah kuumizwa cku ya valentine. Kama umewah kukutwa na tatzo lolote juu ya mapenz cku ya valentine bac jielezee mm nikiwa mmoja wapo ctasahau cku hyo maishan mwangu kote. Kwan nilipigwa chn siku hyo na niliyempenda je na wewe imewah kukutokea hvyo? Jielezeee...