Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 512
Bado tunapambana mkuuπππZAKO TAYARI..?π
Hongera sana mkuuπππππsema sijakupata tantra niniDah...nimetimiza kitambo sana...ndoto ilikuwa kumiliki kiti cha tantra π π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€
Hongera sana mkuuπππππsema sijakupata tantra ninDah...nimetimiza kitambo sana...ndoto ilikuwa kumiliki kiti cha tantra π π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€
Ndio mkuu ujasiri na uvumilivu ni kitu muhimu sana nakutakia mafanikio kwenye malengo yako keep it upbado kiupande wangu najiona ndio kwanza nimeanza safari....hapa nimeinama nakaza kamba za viatu...maana nikiuangalia mlima uliopo mbele yangu ni mrefu lakini sipaswi kukata tamaa...nitapambana mpaka kieleweke...najipa moyo na ninazidi kutafuta...naamini ndani ya miaka mitano 5 ijayo nitakuwa kwenye nafasi tu nzuri...!
amka mkuu dunia inakusubili wakati ndo huuKwakweli me bado nipo usingizini siku nikushtuka nahis nitaanza kuzitimiza tu.
hongera sana mkuuNimetimiza ndio allhamdullah
keep it up and go for sucessI have a long way to go
Thankskeep it up and go for sucess
Dah........π€£π€£π€£π€£π€£Hongera sana mkuuπππππsema sijakupata tantra nini