Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmeeenTupo kwenye mfungo wa Ramadhani,usituchooshe na mambo ya uzinzi.
Habari za uzima maboss wangu wa humu ndani, naombeni kujua kwenye ili seke-seke, je umeshawai kuachana na girlfriend wako uliompenda sana (yaani ukaachwa), ukaona isiwe tabu, ukaamishia majeshi kwa rafiki yake ukaanza kumla rafiki yake vizuri sana, na je alipopata taarifa uwa unatoka na rafiki yake ilikuwaje? au uwa wanajiskiaje watoto wa kike anapogundua kuwa bwana ake alio muacha anatoka na rafiki yake kipenzi.
👇
Nimetoka kuachana na Girlfriend wangu, sasa kuna rafiki yake kipenzi kabisa anakuja less sana kwangu, nimeshampanga kabisa nataka kumtafuna tu ndio kilicho baki, je uyo rafiki yake (x-girlfriend wangu) akipata habari itakuwaje, ndio atanichukia mnooo au, naombeni ushauri wenu maana nimeona kama moto na iwe moto aiseee..
Note: (YEYE NDIO AMENIACHA AISEE SIO MIMI)/QUOTE]
Mi nimekula Mama wa ex wangu pale City style Mugabe jana kiroho safi
haitakusaidia zaidi ya kuuchosha MOYO na MWILI na AKILI yako.......na huyu ex wako alishamwambia huyo mzinzi mwenzio,,,,una kiba100...she want to prove....be a MAN not a BOY...........#wacha zinaa#hapana mkuu, kuachwa kunaumiza nataka kujipooza kidogo ila nawaza je uyu girl wangu atajiskiaje ingawaje nae sasaivi ameingina kwenye mahusiano mengine.
mkuu hajamuambia chochote mkuu, am sure 100%haitakusaidia zaidi ya kuuchosha MOYO na MWILI na AKILI yako.......na huyu ex wako alishamwambia huyo mzinzi mwenzio,,,,una kiba100...she want to prove....be a MAN not a BOY...........#wacha zinaa#
Maoni sii umepewa kuwa usasambue mbususu hiyomkuu nataka kupata maoni, maana mtoto amesha jaa kabisa, ni mimi tu kula tunda basi.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 achaa asasambue mbususu hiyo jamani. kwani shida ipo wapi kama mwanamke mwenyewe ndio anatak kumtunuku jamaa mbususu?Upuuzi tu Kwan hakuna wanawake wengine