Je, umewahi kusingiziwa/ kusemwa jambo ambalo si kweli?

Je, umewahi kusingiziwa/ kusemwa jambo ambalo si kweli?

Trinity

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2017
Posts
1,828
Reaction score
3,508
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Aisee hii imenitokea Leo na imefanya nakosa usingizi Kwa mawazo. Nimepanga nyumba ambayo jumla tupo wapangaji 3. Wenzangu wote wopo mume na mke isipokua mimi.

Jirani mmoja nimese jirani namba 1 alimsimulia jirani namba 2 kwamba mimi jirani namba 3 ni mchawi, anadai mume wake alichungulia dirishan na kuniona nikiwanga chumbani kwangu usiku. Alisimuliwa miezi 7 tulikua tunachekeana na stori za hapa na pale siku zote lakini kumbe nishapigwa jungu mimi mchawi.!!
Natembea nao, nakula nao kumbe inside wasema tupo na mchawi, So sad.!!

Aisee sisi watu nimejifunza hatupo stable katika nafsi na roho, namaanisha mtu yeyote na muda wowote anaweza kugeuka adui yako huku akijifanya mtetezi na swahiba wako damu damu.!

Nimewaza sana labda nimekua mchawi bila kujifahamu lakini akili inagoma, mbona tangu nazaliwa mpaka sasa 34+ age sijawahi ambiwa mchawi na mtu yeyote maana saa nyingine ukiona watu zaidi ya 3 wanakuambia jambo lazima urudi nyumba ujitafakari, lkn kuhusiana na mimi kuwa mchawi sijawahi jihusisha hata Ile kwenda Kwa mganga sijawahi na hata mzazi alinizaa akiwa na Imani ya wakovu hivyo hajawi kunipeleka Kwa mganga wa kienyeji.

Kwa kweli nimetafakari sana, mwisho nimeishia kufurahi.

Sio Kila ukiambiwa jambo kumuhusu mtu flani na wewe ukalibeba kama lilivyo, aisee ongeza na akili zako usipende kushabikia umbea.

Je, wewe mwenzangu umewahi kusingiziwa jambo gani, maana naamini sipo peke yangu.!

Wakola.
 
Pole sana. Hama halafu watangazie jamaa wachache kitaa kuwa unahama sababu(Huyo mke na familia yake waliokutangazia uchawi) ni wachawi wanakuroga. Anza na kwa mangi, mwambie asichanganye hela anazopewa nao na pesa zingine. Na wewe waharibie washenzi, kitaa chote kiwe kinawashuku uchawi.
 
Sasa ili kumpa huyo mpuuzi furaha ya nafsi, kanunue njiwa mnyonyoe manyoa yote uache kwenye kichwa tu halafu andika jina lake umfunge njiwa shingoni halafu mfunge huyo huyo njiwa mlangoni kwa huyo mpuuzi.

Haitomdhuru lakini itamkosesha raha.
 
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Aisee hii imenitokea Leo na imefanya nakosa usingizi Kwa mawazo. Nimepanga nyumba ambayo jumla tupo wapangaji 3. Wenzangu wote wopo mume na mke isipokua mimi.

Jirani mmoja nimese jirani namba 1 alimsimulia jirani namba 2 kwamba mimi jirani namba 3 ni mchawi, anadai mume wake alichungulia dirishan na kuniona nikiwanga chumbani kwangu usiku. Alisimuliwa miezi 7 tulikua tunachekeana na stori za hapa na pale siku zote lakini kumbe nishapigwa jungu mimi mchawi.!!
Natembea nao, nakula nao kumbe inside wasema tupo na mchawi, So sad.!!

Aisee sisi watu nimejifunza hatupo stable katika nafsi na roho, namaanisha mtu yeyote na muda wowote anaweza kugeuka adui yako huku akijifanya mtetezi na swahiba wako damu damu.!

Nimewaza sana labda nimekua mchawi bila kujifahamu lakini akili inagoma, mbona tangu nazaliwa mpaka sasa 34+ age sijawahi ambiwa mchawi na mtu yeyote maana saa nyingine ukiona watu zaidi ya 3 wanakuambia jambo lazima urudi nyumba ujitafakari, lkn kuhusiana na mimi kuwa mchawi sijawahi jihusisha hata Ile kwenda Kwa mganga sijawahi na hata mzazi alinizaa akiwa na Imani ya wakovu hivyo hajawi kunipeleka Kwa mganga wa kienyeji.

Kwa kweli nimetafakari sana, mwisho nimeishia kufurahi.

Sio Kila ukiambiwa jambo kumuhusu mtu flani na wewe ukalibeba kama lilivyo, aisee ongeza na akili zako usipende kushabikia umbea.

Je, wewe mwenzangu umewahi kusingiziwa jambo gani, maana naamini sipo peke yangu.!

Wakola.
Ha ha ha haa
Hiyo ni kawaida sana. Hata wewe mwenyewe umewahi wasingizia watu ama kwa kuwaambia wazi wazi au moyoni mwako. Nawe pia vivyo hivyo, umesingiziwa live au kuhisiwa akilini mwa watu. Kitu cha msingi ni kuyapuuza kama siyo ya kweli. Ili maisha yaendelee. Lkn kama ni ya kweli siyo kusingiziwa, jirekebishe.
 
Sasa ili kumpa huyo mpuuzi furaha ya nafsi, kanunue njiwa mnyonyoe manyoa yote uache kwenye kichwa tu halafu andika jina lake umfunge njiwa shingoni halafu mfunge huyo huyo njiwa mlangoni kwa huyo mpuuzi.

Haitomdhuru lakini itamkosesha raha.
Ushapewa ushauri zidi watia hofu mpaka wapate akili!
😁
 
Sasa ili kumpa huyo mpuuzi furaha ya nafsi, kanunue njiwa mnyonyoe manyoa yote uache kwenye kichwa tu halafu andika jina lake umfunge njiwa shingoni halafu mfunge huyo huyo njiwa mlangoni kwa huyo mpuuzi.

Haitomdhuru lakini itamkosesha raha.
Asije akanishikia panga, hii hapana aisee.!
 
Pole mkuu jitahidi utafute mwenzio sasa ujenge familia. Labda waliongea kwa sababu ya kukuona unaishi mwenyewe
 
Pole mkuu jitahidi utafute mwenzio sasa ujenge familia. Labda waliongea kwa sababu ya kukuona unaishi mwenyewe
Nimeshaa oa sema tunaishi mikoa tofauti Kwa muda flani huku tunafuatilia uhamisho.
 
Ha ha ha haa
Hiyo ni kawaida sana. Hata wewe mwenyewe umewahi wasingizia watu ama kwa kuwaambia wazi wazi au moyoni mwako. Nawe pia vivyo hivyo, umesingiziwa live au kuhisiwa akilini mwa watu. Kitu cha msingi ni kuyapuuza kama siyo ya kweli. Ili maisha yaendelee. Lkn kama ni ya kweli siyo kusingiziwa, jirekebishe.
Sahihi kabisa,
 
Pole sana. Hama halafu watangazie jamaa wachache kitaa kuwa unahama sababu(Huyo mke na familia yake waliokutangazia uchawi) ni wachawi wanakuroga. Anza na kwa mangi, mwambie asichanganye hela anazopewa nao na pesa zingine. Na wewe waharibie washenzi, kitaa chote kiwe kinawashuku uchawi.

Hii yenyewe [emoji3]
 
Je
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.

Aisee hii imenitokea Leo na imefanya nakosa usingizi Kwa mawazo. Nimepanga nyumba ambayo jumla tupo wapangaji 3. Wenzangu wote wopo mume na mke isipokua mimi.

Jirani mmoja nimese jirani namba 1 alimsimulia jirani namba 2 kwamba mimi jirani namba 3 ni mchawi, anadai mume wake alichungulia dirishan na kuniona nikiwanga chumbani kwangu usiku. Alisimuliwa miezi 7 tulikua tunachekeana na stori za hapa na pale siku zote lakini kumbe nishapigwa jungu mimi mchawi.!!
Natembea nao, nakula nao kumbe inside wasema tupo na mchawi, So sad.!!

Aisee sisi watu nimejifunza hatupo stable katika nafsi na roho, namaanisha mtu yeyote na muda wowote anaweza kugeuka adui yako huku akijifanya mtetezi na swahiba wako damu damu.!

Nimewaza sana labda nimekua mchawi bila kujifahamu lakini akili inagoma, mbona tangu nazaliwa mpaka sasa 34+ age sijawahi ambiwa mchawi na mtu yeyote maana saa nyingine ukiona watu zaidi ya 3 wanakuambia jambo lazima urudi nyumba ujitafakari, lkn kuhusiana na mimi kuwa mchawi sijawahi jihusisha hata Ile kwenda Kwa mganga sijawahi na hata mzazi alinizaa akiwa na Imani ya wakovu hivyo hajawi kunipeleka Kwa mganga wa kienyeji.

Kwa kweli nimetafakari sana, mwisho nimeishia kufurahi.

Sio Kila ukiambiwa jambo kumuhusu mtu flani na wewe ukalibeba kama lilivyo, aisee ongeza na akili zako usipende kushabikia umbea.

Je, wewe mwenzangu umewahi kusingiziwa jambo gani, maana naamini sipo peke yangu.!

Wakola.
Je, unafahamu kitu kinachoitwa Black Propaganda?? Characters Assassination and Smear Campaign?
 
Kuna demu alikuwa ananitangaza kuwa Mm nampelekea moto knoma mpaka maji anayaita mma.! kumbe n uongo mm n kimoja chali mpaka wiki ijayo.
 
Back
Top Bottom