Je, Umewahi kusumbuliwa na polisi kwenye biashara yako? ulipitia tabu zipi na kama uliweza kujinasua uliwezaje?

Je, Umewahi kusumbuliwa na polisi kwenye biashara yako? ulipitia tabu zipi na kama uliweza kujinasua uliwezaje?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Mapolisi wasio na weledi wakiamua kuingia kwenye biashara zako huwa ni wakorofi sana na ni hatari sana.

Je uliwahi kukutana na usumbufu wao kwenye biashara yako.

Kuna muuza laptops flani yaliwahi kumkuta alipoanza kununua laptops kwa watu wanaohitaji kuziuza, siku ya siku akauziwa laptop iliyoibiwa, polisi wakaanza msako wakaikuta kwake, hakuwa na risiti ya hio laptop akashindwa kujitetea hata aliposema yeye kauziwa, kijana ilimtoka milioni 30 ili kujinasua, kiukweli alirudishwa nyuma sana na hii hali
 
Biashara ni play station.

Kutokana na malalamiko ya wazazi ikawa natakiwa kufungua saa 10 jioni ila kufunga saa nne usiku. Hii inapelekea uwe na muda mdogo wa kufanya kazi hivyo huwezi pata pesa.

Nikaongea na mjumbe kwamba nifungue saa 8 mchana nikakubaliwa. Nikakamatwa kwakua nimefungua saa nane mchana.

Nikaja kukamatwa kwakua nipo wazi saa tano usiku.

Nikaja kukamatwa kwakua watu wamekaa karibu karibu wakati kuna corona. Nikamuuliza jamaa mbona Rais anasema hakuna corona akanijibu usiwafuatishe wanasiasa.

Nikakamatwa kwakua play station inasabisha kelele.

Nikakamatwa kwakua nitasababisha watoto wasiende shule.

Kisha siku hiyo nimeweka pesa chini ya playstation chumbani (nyumba za kupanga za vyumba vinatazamana) nimetoka nje naenda dukani narudi pesa hakuna. Waliokuepo wakasema maaskari wa mtambani walikua wanakimbiza wavuta bangi wale wavuta bangi wakaingia upande wa nyumba niliyopanga so askari waliingia room kwa room kuangalia watuhumiwa.

Nikaenda mtambani nikaambiwa nirudi siku mbili mbele siku nimerudi nikaambiwa wananiweka ndani kwakua natunza wahalifu. Ama nibaki au nipotee.

Nikakamatwa kwakua wamekuta washukiwa wa uhalifu wanacheza game.

Nikakamatwa kwakua sina leseni na muda huo nina kitambulisho cha ujasiriamali. Ishu ni kwamba TRA hawatoi license kwa ishu kama hii nilivyoonyesha id ya mjasiriamali nikajibiwa hivyo ni vya wanasiasa.

Huko kukamatwa kote hamna siku nimeandikwa kwenye daftari lao lile. In fact wakikukamata wanakuambia hakikisha una simu ili uwape taarifa ndugu zako.

Hawa wazunguka doria wa usiku wakikukuta una pesa hawakuachi.
 
Biashara ni play station.

Kutona na malalamiko ya wazazi ikawa natakiwa kufungua saa 10 jioni ila kufunga saa nne usiku. Hii inapelekea uwe na muda mdogo wa kufanya kazi hivyo huwezi pata pesa.

Nikaongea na mjumbe kwamba nifungue saa 8 mchana nikakubaliwa. Nikakamatwa kwakua nimefungua saa nane mchana.

Nikaja kukamatwa kwakua nipo wazi saa tano usiku.

Nikaja kukamatwa kwakua watu wamekaa karibu karibu wakati kuna corona. Nikamuuliza jamaa mbona Rais anasema hakuna corona akanijibu usiwafuatishe wanasiasa.

Nikakamatwa kwakua play station inasabisha kelele.

Nikakamatwa kwakua nitasababisha watoto wasiende shule.

Kisha siku hiyo nimeweka pesa chini ya playstation chumbani (nyumba za kupanga za vyumba vinatazamana) nimetoka nje naenda dukani narudi pesa hakuna. Waliokuepo wakasema maaskari wa mtambani walikua wanakimbiza wavuta bangi wale wavuta bangi wakaingia upande wa nyumba niliyopanga so askari waliingia room kwa room kuangalia watuhumiwa.

Nikaenda mtambani nikaambiwa nirudi siku mbili mbele siku nimerudi nikaambiwa wananiweka ndani kwakua natunza wahalifu. Ama nibaki au nipotee.

Nikakamatwa kwakua wamekuta washukiwa wa uhalifu wanacheza game.

Nikakamatwa kwakua sina leseni na muda huo nina kitambulisho cha ujasiriamali. Ishu ni kwamba TRA hawatoi license kwa ishu kama hii nilivyoonyesha id ya mjasiriamali nikajibiwa hivyo ni vya wanasiasa.

Huko kukamatwa kote hamna siku nimeandikwa kwenye daftari lao lile. In fact wakikukamata wanakuambia hakikisha una simu ili uwape taarifa ndugu zako.

Hawa wazunguka doria wa usiku wakikukuta una pesa hawakuachi.
Kuna baadhi ya polisi ni majambazi wanaovaa uniform .

Jeshi la polisi ondoeni huu uozo watumishi wenu wengi sio waadilifu
 
Biashara ni play station.

Kutona na malalamiko ya wazazi ikawa natakiwa kufungua saa 10 jioni ila kufunga saa nne usiku. Hii inapelekea uwe na muda mdogo wa kufanya kazi hivyo huwezi pata pesa.

Nikaongea na mjumbe kwamba nifungue saa 8 mchana nikakubaliwa. Nikakamatwa kwakua nimefungua saa nane mchana.

Nikaja kukamatwa kwakua nipo wazi saa tano usiku.

Nikaja kukamatwa kwakua watu wamekaa karibu karibu wakati kuna corona. Nikamuuliza jamaa mbona Rais anasema hakuna corona akanijibu usiwafuatishe wanasiasa.

Nikakamatwa kwakua play station inasabisha kelele.

Nikakamatwa kwakua nitasababisha watoto wasiende shule.

Kisha siku hiyo nimeweka pesa chini ya playstation chumbani (nyumba za kupanga za vyumba vinatazamana) nimetoka nje naenda dukani narudi pesa hakuna. Waliokuepo wakasema maaskari wa mtambani walikua wanakimbiza wavuta bangi wale wavuta bangi wakaingia upande wa nyumba niliyopanga so askari waliingia room kwa room kuangalia watuhumiwa.

Nikaenda mtambani nikaambiwa nirudi siku mbili mbele siku nimerudi nikaambiwa wananiweka ndani kwakua natunza wahalifu. Ama nibaki au nipotee.

Nikakamatwa kwakua wamekuta washukiwa wa uhalifu wanacheza game.

Nikakamatwa kwakua sina leseni na muda huo nina kitambulisho cha ujasiriamali. Ishu ni kwamba TRA hawatoi license kwa ishu kama hii nilivyoonyesha id ya mjasiriamali nikajibiwa hivyo ni vya wanasiasa.

Huko kukamatwa kote hamna siku nimeandikwa kwenye daftari lao lile. In fact wakikukamata wanakuambia hakikisha una simu ili uwape taarifa ndugu zako.

Hawa wazunguka doria wa usiku wakikukuta una pesa hawakuachi.
dah, pole sana mkuu, biashara ya ps ukisoma mchanganuo wake inavutia sana lakini ukifungua sehemu yako yani ina changamoto sana hasa pale watoto wakianza kuiba pesa ili waje kucheza ps ndio vituko vinapoanziaga hapo.

Naskia Zanzibar ilipigwa marufuku kabisa
 
dah, pole sana mkuu, biashara ya ps ukisoma mchanganuo wake inavutia sana lakini ukifungua sehemu yako yani ina changamoto sana hasa pale watoto wakianza kuiba pesa ili waje kucheza ps ndio vituko vinapoanziaga hapo.

Naskia Zanzibar ilipigwa marufuku kabisa
Now unajua kuna sehemu za PS zinafanya kazi 24/7 na hawakamatwi?

Na wanajitangaza hadi IG.
 
IMG_20220126_152247.jpg
 
Mapolisi wasio na weledi wakiamua kuingia kwenye biashara zako huwa ni wakorofi sana na ni hatari sana.

Je uliwahi kukutana na usumbufu wao kwenye biashara yako.

Kuna muuza laptops flani yaliwahi kumkuta alipoanza kununua laptops kwa watu wanaohitaji kuziuza, siku ya siku akauziwa laptop iliyoibiwa, polisi wakaanza msako wakaikuta kwake, hakuwa na risiti ya hio laptop akashindwa kujitetea hata aliposema yeye kauziwa, kijana ilimtoka milioni 30 ili kujinasua, kiukweli alirudishwa nyuma sana na hii hali

kama sio kariakoo hakuna pengine !.
maana kesi hizo zipo nyingi mtaa wa agrey
 
Now unajua kuna sehemu za PS zinafanya kazi 24/7 na hawakamatwi?

Na wanajitangaza hadi IG.
Nazionaga hizo sehemu zimekaa kwenye hadhi za juu sana na hata bei zao huwa juu, mziki upo kwenye hivi vituo vya mtaani vyenye hadhi za kawaida.
 
Biashara ni play station.

Kutona na malalamiko ya wazazi ikawa natakiwa kufungua saa 10 jioni ila kufunga saa nne usiku. Hii inapelekea uwe na muda mdogo wa kufanya kazi hivyo huwezi pata pesa.

Nikaongea na mjumbe kwamba nifungue saa 8 mchana nikakubaliwa. Nikakamatwa kwakua nimefungua saa nane mchana.

Nikaja kukamatwa kwakua nipo wazi saa tano usiku.

Nikaja kukamatwa kwakua watu wamekaa karibu karibu wakati kuna corona. Nikamuuliza jamaa mbona Rais anasema hakuna corona akanijibu usiwafuatishe wanasiasa.

Nikakamatwa kwakua play station inasabisha kelele.

Nikakamatwa kwakua nitasababisha watoto wasiende shule.

Kisha siku hiyo nimeweka pesa chini ya playstation chumbani (nyumba za kupanga za vyumba vinatazamana) nimetoka nje naenda dukani narudi pesa hakuna. Waliokuepo wakasema maaskari wa mtambani walikua wanakimbiza wavuta bangi wale wavuta bangi wakaingia upande wa nyumba niliyopanga so askari waliingia room kwa room kuangalia watuhumiwa.

Nikaenda mtambani nikaambiwa nirudi siku mbili mbele siku nimerudi nikaambiwa wananiweka ndani kwakua natunza wahalifu. Ama nibaki au nipotee.

Nikakamatwa kwakua wamekuta washukiwa wa uhalifu wanacheza game.

Nikakamatwa kwakua sina leseni na muda huo nina kitambulisho cha ujasiriamali. Ishu ni kwamba TRA hawatoi license kwa ishu kama hii nilivyoonyesha id ya mjasiriamali nikajibiwa hivyo ni vya wanasiasa.

Huko kukamatwa kote hamna siku nimeandikwa kwenye daftari lao lile. In fact wakikukamata wanakuambia hakikisha una simu ili uwape taarifa ndugu zako.

Hawa wazunguka doria wa usiku wakikukuta una pesa hawakuachi.
😂😂😂
 
Back
Top Bottom