mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Sa unafanya nini kwa watu hapomm nlilitazama nkiwa darasa la 3 je natakiwa kuondoka nyumbni...?
sina pa kwenda mkuuSa unafanya nini kwa watu hapo
Oa mwaya je.kataa ndoa wanasemaje?? dronedrake mwenzio anaoa??Sasa nioe tena maana kubaki bila mke najidhalilisha na huu uzeeπ
Oa mwaya je.kataa ndoa wanasemaje?? dronedrake mwenzio anaoa??
πππππ π€£π€£π€£ haya bwana ukishaoa nitagSitajali watasema nini ila kwa huu umri na haya mengi niliyoyaona sitakiwi kuwaogopa tena wanawake maana sasa mimi ni kibabu cha haja , nisije fia ndani kwa kukosa wa kunikanda mgongo kisa vijana akina dronedrake
Nitakujulisha mkuuπππππ π€£π€£π€£ haya bwana ukishaoa nitag
acha kihere hereNitakujulisha mkuu
Niliondoka nikarudi
Kuna nini tena jamani Unique Floweracha kihere here