Je, Umoja/Vyama vina manufaa kwa wanachama wake?

Je, Umoja/Vyama vina manufaa kwa wanachama wake?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210317_133626_289.jpg

Uhuru wa kushirikiana ni uwezo wa watu kuunda Vyama au Umoja mfano Umoja wa Waendesha Mabasi, Umoja wa Waendesha Bodaboda, Umoja wa Mama Lishe, Umoja wa Machinga, Vyama vya Wafanyakazi na vinginevyo kwa lengo la kusaidiana kwenye mambo mbalimbali.

Vyama hivi vinapaswa kuwa na Katiba itayotumika kufanya maamuzi ya mambo yahusuyo Chama husika.

Aidha vyama hivi vinapaswa kunufaisha wahusika wote yaani viongozi na wanachama wa kawaida.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom