Tena umechelewa, sisi huwa tuna-watairi watoto zetu kabla ya kumaliza miezi miwili.
Kama upo Dar. Mtaa wa Swahili na Kariakoo kwenye jengo la club ya PAN Africa kuna Dr. Juma (hayuko kwenye mgomo). Huyu ni mtaalaam humchukuwa chini ya dakika moja tu kamaliza kazi.
nenda mapema maana ukichelewa ataanza utundu na atakua anajitonesha mara kwa mara. Ni kweli kabisa dokta jumaa ni mtaalam na mzoefu sana. Halafu ni vizuri kumfanyia kipindi hiki cha baridi maana atapona upesi.
Mwanagu wa kwanza alikuwa na miaka miwili nilivyomtahiri. Wa pili sijamtahiri ingawa ameshatimia miaka miwili. Kitaalamu hakuna muda maalumu. Ila nilivyomtahiri mtoto wa kwanza nilimdadisi doctor kuhusu suala la muda akasema hakuna muda maalumu ila yeye watoto wake anasubiri wakue. Maana yake wangu wa miaka miwili alikuwa mdogo. Kumbuka kuwa mtoto atapigwa nusu kaputi.
Ila kuna pia imani kuwa mtoto akitahiriwa akiwa mchanga basi atakuwa na kibamia. Hii inazungumzwa sana ndio maana sikutaka ku risk nikasubiri mwanangu afike miaka miwili.
Na ukiangalia sana hii fashion ya kutahiri vichanga ni mpya hivyo atujuhi faida na hasara zake na wataalamu wenyewe hawaju wanaangalia maslahi; kaka zangu wote walitahiriwa wakiwa na akili zao timamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.