Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NoNawasilisha wadau mwenye kujua hii pls
Ww ndio unatoa ajira mbona unatisha vijanahakuna muhitimu wa 2018 kurudi chini anaweza compete na new graduants:.
hao wame shauriwa kutafuta kazi nyingine.. hata hiyo interview wasiende
Kwanini Mwalimuhakuna muhitimu wa 2018 kurudi chini anaweza compete na new graduants:.
hao wame shauriwa kutafuta kazi nyingine.. hata hiyo interview wasiende
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaah!hakuna muhitimu wa 2018 kurudi chini anaweza compete na new graduants:.
hao wame shauriwa kutafuta kazi nyingine.. hata hiyo interview wasiende
wewe mikoa unaitaka ya kazi gani??Habar waalimu,naomba niulize ndani ya uzi wako,Je ,katika account za waalimu za ajira portal,mikoa ipo?Kwangu hakuna mkoa tangu walipoitoa mwanzon,acc.ikawa under maintanance..ilivyorudi hakuna mkoa,kuna MDAs &LGAs tu.
Kwani wamesharipoti?Hospital zimefurika vijana, nimenda pale JKCI Kila Daktari ananiamkia Shikamoo Mzee isipokuwa Mkurugenzi Dr Kisenge tuu.
Ukisoma kanuni za PSRS wamesema kigezo cha umri kitatumika pale Watahiniwa watalingana Marks. Wanaangalia Umri,Jinsia na Ulemavu.Ufaulu wa usaili ndio kigezo, hawaangalii umri wa mtu wala amemaliza lini chuo. Ajira kupitia PSRS ni free competition.
Everyone should underline this answer!nilisikiliza Bunge walisema ikiwa watu watafungana kwa maksi basi mwenye umri mkubwa atapata kwanza.
Cha kwanza ni kufaulu halafu mkilingana marks wanachukua mwenye umri mkubwa!Ukisoma kanuni za PSRS wamesema kigezo cha umri kitatumika pale Watahiniwa watalingana Marks. Wanaangalia Umri,Jinsia na Ulemavu.
Sio kweli.hakuna muhitimu wa 2018 kurudi chini anaweza compete na new graduants:.
wahitimu hao wa 2018 kurudi nyuma wame shauriwa kutafuta kazi nyingine.. hata hiyo interview wasiende
nazungumzia hizi za afya na ualimu...Sio kweli.
Kama uko competent unatoboa.
Binafsi nilihitimu 2012
Ajira portal nikajiunga 2018
2019 kazi zikatangazwa taasisi mbili tofauti kote nikaomba, nikaitwa kote
Kwa mara ya kwanza kufanya usail ajira portal from written, practical Hadi oral zote nikpata
Mimi ndio nikaanza kuchangua wapi niende.