Halina kazi hili toto...Punguza usengerema mkuu.
Aahaaaaa sawa mkuu...hii Iko poaWatafungwa goli chini ya 3
Ahly wanajua jinsi ya kucheza knockout games, so kesho sitarajii magoli mengi, tahadhari kwa Simba ni kucheza mchezo wa kujilinda na kushtukiza..
Wakisema wafunguke kwa kuwa hawana la kupoteza, kuna uwezekano wa goli nyingi pale Cairo Int. Stadium
#YallaYaAhly
kalia hiyo...Watafungwa mengi mkuu
[emoji23][emoji23]Wenye pesa na mioyo yao View attachment 2953888
Picha haifunguki mkuukalia hiyo...View attachment 2953889