*Je, una kitambi?*
*Je, una michirizi ya unene?*
*Je, una shepu isiyovutia?*
*Je, una nywele za kipilipili?*
*Je, una meno ya njano?*
*Je, una chunusi, harara au mabaka kwenye ngozi yako?*
*Je, una nywele zinazokatika?*
*Mshukuru Mungu kukuumba hivyo hamna namna nyingine.[emoji2439]
Ulitaka awe navyo nani sasa kama sio wewe?* [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]