Je una wajua sadists, mtu anayefurahia maumivu ya mtu mwingine

Je una wajua sadists, mtu anayefurahia maumivu ya mtu mwingine

uvugizi

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,278
Reaction score
956
Mara nyingi mtu mkamilifu mwenye upendo wa dhati huwa anajaribu na anaepuka kuleta maumivu kwa mwenzake na jamii kwa ujumla. Ikitokea kumuumiza mwenzako unahisi kuhukumiwa toka ndani . Mtoto mdogo ukimuangalia hasa wale wa miaka 3 hivi anapomuumiza mwenzake anaweza hata na yeye akalia . Mtoto mara zote siyo sadist.

sadist ni mtu ambaye amekuwa na huzuni ndani kwa ndani kwa muda mrefu sana , au kwa lugha ya mjini waliovurugwa . ukitawaliwa na hali kwa muda mrefu inakujengea kitu kinaitwa UKATILI . ukatili ni tunda la huzuni iliyopitiliza , na hata makanisani ndipo kuliko na watu sadist wengi sana, wanakuja kila siku kwa mantiki ya wokovu.

sadist unaweza kuiondoa kwa divine knowledge tu ( taarifa na maarifa ya kiungu).

ukiwa sadist , kama ni mtumishi wa Mungu unaweza ukasikia yule bwana huduma yake imeanguka wewe kwa sababu ni sadist utaanza kufurahia,,,,, mfano mtumishi wa Mungu kafumaniwa wewe unaanza kufurahia ,,,,,,Nabii wa Mungu kakosea unabii kwako wewe ni furaha.

yaani watu wanakuwa egocentric hata kwenye kazi ya Mungu , mfano mtu anatafuta waumini waje kanisani kwake lakini anavyoshuhudia ni kumtangaza yesu , lakini kwa muktadha wa kujiwazia wewe mwenyewe kwanza badala ya wengine na egocentrism ndiyo tabia chanya ya sadist( watu wenye huzuni na waliovurugwa).

Kwa nini SADIST mfumo wa dunia kifalsafa ni huzuni na ndiyo maana tupo duniani na shetani maana mbinguni hakuna huzuni , shetani naye hayupo mbinguni . sadist ni mtu ambaye ameathirika kwa sababu yake mwenyewe , kutokana na MATENDO ,MANENO, na MAONO. Watu waliohuzunishwa walitendwa aidha na vitu walivyoviona au matendo waliyofanyiwa , maneno waliyosikia.

Ukimuona mtu katili usifikiri anafanya ukatili pale unapoona ukashangaa, kuna historia iliyojificha , je,,, amekulia wapi ? , je ni katika nchi ya vita vita vya mara kwa mara , au ni katika malezi ya mama na baba kupigana mara kwa mara.

DR. Erin buckels wa chuo kikuu cha british columbia , alibainisha matokeo makubwa ya sadism( hali ya kusikia raha wengine wanapoumia).

dr erin buckels ili kujaribu hiyo hypothesis ya sadism , alichukua watu 71 chini ya maabara maalum akataka kuona " personality tolerance for challenging jobs" ( uvumilivu katika majukumu magumu).

Aliwaambia washiriki wachague kazi amabazo wengi hawazipendi na kuziweka mbele yao kwa utekelezaji. kazi hizo ni

1.kuua mende wale wa chooni kwa kuwasaga on special machine
2. kusafisha choo kinachonuka
3.kuvumilia maumivu ya barafu yaani baridi

Washiriki waliochagua kuua MENDE , walipimwa katiaka maabara maluum kwa kutumia vipimo vya sadistic( sacale measuring sadistic impulses). waliwakuta na kiwango kikubwa cha huzuni ndani yao .

ERIN BUCKELS akabaini jinsi unavyokuwa na huzuni , kuna uwezekano mkubwa ukachagua kuua , yaani FURAHA yako ni kuona vitu watu wanaharibikiwa.

Hivyo kwa muktadha wangu, biblia haikukosea kusema mpende jirani yako kama nafsi yako ,,,, yesu alisema adui yako akiwa na njaa mpe chakula ,,,,, kwa lugha nyingine usipompa maana yake yake unampelekea kuwa na Huzuni itakayomfanya awe mkatili ,,,,,, nani mbaya hapo ,,,, kazi kwenu wachungaji na masheikh.

be inspired and respired with these books
 

Attachments

Mm nisyeweza kuua hata Nzi nipo kundi lipi..
 
Kuna jamaa mmoja ni muendesha malori, mara nyingi huwa anapakia abiria nyuma, huwa hasimami kwenye matuta, wala kupunguza mwendo kwenye kona yeye ni kanyaga twende wala hasikilizi malalamiko ya abiria wake kutokana na maumivu wanayoyapata kwenda na kasi yake. Yeye alisema hao abiria hawakuwa naye wakati anapatiwa leseni na hivyo wasimpangie jinsi ya kuendesha, ukiendelea kumsumbua anakusukumizia nje uache kumletea usumbufu. Huyu jamaa sijui yupo kwenye kundi hili?🙄
 
Hakuna kuongeza mshahara watumishi, waache kazi.
 
Kuna jamaa mmoja ni muendesha malori, mara nyingi huwa anapakia abiria nyuma, huwa hasimami kwenye matuta, wala kupunguza mwendo kwenye kona yeye ni kanyaga twende wala hasikilizi malalamiko ya abiria wake kutokana na maumivu wanayoyapata kwenda na kasi yake. Yeye alisema hao abiria hawakuwa naye wakati anapatiwa leseni na hivyo wasimpangie jinsi ya kuendesha, ukiendelea kumsumbua anakusukumizia nje uache kumletea usumbufu. Huyu jamaa sijui yupo kwenye kundi hili?🙄
Haswa!!!!!!!!!!, yupo katika hilo kundi , siku moja atakuja hata kuua watu , na ningeshauri watoa leseni wangekuwa wanatumia wana saikolojia katika kuwapa watu leseni, nafikiri kama sikosei uingereza au scotland , kati ya nchi hizo wanafanya hayo na ndiyo maana wana saikolojia huko wana soko kuliko huku kwetu. mwanasaikolojia anaajiriwa hata katika makampuni , huku kwetu tunamuweka tu HR ( mtaaluma).

it is much recognised katika falsafa ya saikoloji, kuwa ukiwa mjinga ni lazima utakuwa APATHETIC(hali ya kutojali mambo ya wengine hasa maumivu), GREEDY, mkorofi na MUOGA.
 
Hakuna kuongeza mshahara watumishi, waache kazi.

mkuu naye huyo ni sadist , fuatilia historia yake ,,,,, maana kuna kitu kinasemwa kwake ,,,, sasa kuombewa what does it mean in apathetic way aliyo nayo ,,,,, kwa sababu kuna imani ya Mungu na imani kwa Mungu ,,,, watu wengi wana imani kwa Mungu ila imani ya Mungu hakuna au ni wachache . ...... huwa namtafuta sana mtu mwenye imani na Mungu ,,,,,,,,,
 
Gwajima nae ni sadist kwa gwajima.
hapana usiwataje watu wa madhabahuni hujui alitubu saa ngapi , maana wasimama madhabahuni anao wahukumu ni MUNGU.....kwa sababu mtu akijitahidi kuwa mkamilifu kwa juhudi zake , kwa muktadha wa elimu ya dini ya wokovu , maana yake anataka kuokoka kwa sheria ,,,, siku zote unaokoka kwa neema ,,, kwa mantiki ya kwamba sistahili,, kama ni msomaji wa biblia soma maneno ya daudi katika zaburi 51. GWAJIMA is a real man of god , what he can do , piga magoti ongea tu na Mungu kwa ajili ya mafunuo. barikiwa sana nakupenda.
 
Umenikumbusha yule Kamanda...

'sadism is inevitable when the situation is alarming..."

sentensi fupi lakini ina mashiko sana , let me tell you . Maisha duniani ni Mapito siyo majaribu. anayekutia moyo hafai anayefaa ni yule anayekuunga mkono . mfano mimi ni mlokole ukisoma biblia , petro alimvyomtia moyo yesu kwamba hutakufa , yesu alimwambia toka hapa shetani ,,,, aliyekuwa ana mtia moyo yesu ni shetani kupitia petro.
 
Somo zuri sana..

somo zuri ubarikiwe na uniombee sana , nawe utahuishwa kwani kifalsafa, UBONGO unasisimka na unaamka vyema ukiwa umekwama. it is not an easy task. Nimetumia mapito yangu binafsi, vitabu vya maisha na reality , wanasaikolojia mbalimbali zaidi 50 dunia nzima, mentors zaidi ya 10, na kusikiliza watumishi wa Mungu duniani hasa waliofanikiwa wana mapito ambayo yana mtindo wa kugeuka kuwa elimu ...... kwa mfano mimi mentor wangu niliyeamua kusimama naye firm ni walter magaya huyo yupo katika avatar,,,,,, Tafuta hizo taratibu zote na uzifuate . barikiwa sana nakupenda ndugu , Mungu ni mwema.

soma kitabu hiki cha mentor and mentees, na hope mwanzo utaanza vizuri

naona admin ameblock nisiiendelee kutuma vitabu ,,, i,m sory ndugu,,,,
 
Mara nyingi mtu mkamilifu mwenye upendo wa dhati huwa anajaribu na anaepuka kuleta maumivu kwa mwenzake na jamii kwa ujumla. Ikitokea kumuumiza mwenzako unahisi kuhukumiwa toka ndani . Mtoto mdogo ukimuangalia hasa wale wa miaka 3 hivi anapomuumiza mwenzake anaweza hata na yeye akalia . Mtoto mara zote siyo sadist.

sadist ni mtu ambaye amekuwa na huzuni ndani kwa ndani kwa muda mrefu sana , au kwa lugha ya mjini waliovurugwa . ukitawaliwa na hali kwa muda mrefu inakujengea kitu kinaitwa UKATILI . ukatili ni tunda la huzuni iliyopitiliza , na hata makanisani ndipo kuliko na watu sadist wengi sana, wanakuja kila siku kwa mantiki ya wokovu.

sadist unaweza kuiondoa kwa divine knowledge tu ( taarifa na maarifa ya kiungu).

ukiwa sadist , kama ni mtumishi wa Mungu unaweza ukasikia yule bwana huduma yake imeanguka wewe kwa sababu ni sadist utaanza kufurahia,,,,, mfano mtumishi wa Mungu kafumaniwa wewe unaanza kufurahia ,,,,,,Nabii wa Mungu kakosea unabii kwako wewe ni furaha.

yaani watu wanakuwa egocentric hata kwenye kazi ya Mungu , mfano mtu anatafuta waumini waje kanisani kwake lakini anavyoshuhudia ni kumtangaza yesu , lakini kwa muktadha wa kujiwazia wewe mwenyewe kwanza badala ya wengine na egocentrism ndiyo tabia chanya ya sadist( watu wenye huzuni na waliovurugwa).

Kwa nini SADIST mfumo wa dunia kifalsafa ni huzuni na ndiyo maana tupo duniani na shetani maana mbinguni hakuna huzuni , shetani naye hayupo mbinguni . sadist ni mtu ambaye ameathirika kwa sababu yake mwenyewe , kutokana na MATENDO ,MANENO, na MAONO. Watu waliohuzunishwa walitendwa aidha na vitu walivyoviona au matendo waliyofanyiwa , maneno waliyosikia.

Ukimuona mtu katili usifikiri anafanya ukatili pale unapoona ukashangaa, kuna historia iliyojificha , je,,, amekulia wapi ? , je ni katika nchi ya vita vita vya mara kwa mara , au ni katika malezi ya mama na baba kupigana mara kwa mara.

DR. Erin buckels wa chuo kikuu cha british columbia , alibainisha matokeo makubwa ya sadism( hali ya kusikia raha wengine wanapoumia).

dr erin buckels ili kujaribu hiyo hypothesis ya sadism , alichukua watu 71 chini ya maabara maalum akataka kuona " personality tolerance for challenging jobs" ( uvumilivu katika majukumu magumu).

Aliwaambia washiriki wachague kazi amabazo wengi hawazipendi na kuziweka mbele yao kwa utekelezaji. kazi hizo ni

1.kuua mende wale wa chooni kwa kuwasaga on special machine
2. kusafisha choo kinachonuka
3.kuvumilia maumivu ya barafu yaani baridi

Washiriki waliochagua kuua MENDE , walipimwa katiaka maabara maluum kwa kutumia vipimo vya sadistic( sacale measuring sadistic impulses). waliwakuta na kiwango kikubwa cha huzuni ndani yao .

ERIN BUCKELS akabaini jinsi unavyokuwa na huzuni , kuna uwezekano mkubwa ukachagua kuua , yaani FURAHA yako ni kuona vitu watu wanaharibikiwa.

Hivyo kwa muktadha wangu, biblia haikukosea kusema mpende jirani yako kama nafsi yako ,,,, yesu alisema adui yako akiwa na njaa mpe chakula ,,,,, kwa lugha nyingine usipompa maana yake yake unampelekea kuwa na Huzuni itakayomfanya awe mkatili ,,,,,, nani mbaya hapo ,,,, kazi kwenu wachungaji na masheikh.

be inspired and respired
Je psycopath
 
Dah jamii forum huwa vinapatikana vtu ambavyo n adimu Sana kupatikana popote

asante Mkuu somo hili watu wengi nimewafundisha ila hapa nimelileta kwa ufupi tu. naomba nikushauri kitu ,,,, kwako lakini ,,,, ukiwa na matatizo usisome vinavyozungumzia matatizo , soma vitabu vya vya tofauti viwe kinga kwako........kwani aliyetengeneza kisu hakutengeneza kwa ajili ya kuua watu , lakinii........... wajua!!!!!. nakupenda barikiwa sana ndugu , jifunze ukitaka vitabu ni inbox hasa vya to be self you.
 
Je psycopath

psychopath ni ugonjwa kabisa, ingawa ukioanisha na sadistic people , hapo unaweza kusema causes au dalili za psychopath ni sadism pia. inagawa wataalamu bado wanabishana chanzo hasa ni nini , maana ujambazi , kutojituma , uvivu vyote ni madalili ya psychopath na wanakubaliana ni genetics ( tabia ya kurithiana ), interpersonal factors na hata environment. hebu soma hichi kitabu ingawa ni cha medicine kitakufaa ni dolar 9 paperback, hapa ni bure kabisa
 

Attachments

Back
Top Bottom