Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Kungfu Hustler.....Hawa majamaa wali tisha enzi hizo, uigizaji safi.
👉 Back to the days kisanga kilivyo vumbuliwa
View attachment 2850051View attachment 2850053View attachment 2850054View attachment 2850072View attachment 2850074View attachment 2850077View attachment 2850079View attachment 2850081View attachment 2850091View attachment 2850093View attachment 2850101View attachment 2850103View attachment 2850104View attachment 2850106View attachment 2850107
chuma Cha Moto sana, wana vyuma vingine hatariKungfu Hustler.....
Kungfu hustlePicha inaitwa x gang
Yeah, ana vyuma vingine vya moto.Hii movie nlipoiangalia Mara ya kwanza nilicheka kidogo nife.Japo nlikuwa nimemoka ila Steven chow ni nyoko,Leo nairudia tena.
Naona Ume ji correct mwenyewe.Kungfu hustle
Me nilijua inaitwa x gang bahati nzuri nikakuta jina hapoNaona Ume ji correct mwenyewe.
Wana vyuma Kama good of gamblers 1,2,3.Me nilijua inaitwa x gang bahati nzuri nikakuta jina hapo
Walitisha sana... Itabidi nizitafuteWana vyuma Kama good of gamblers 1,2,3.
Ana mabiti huyoDaaaaah, Balaa la huyo Bi Mkubwa sio la kitoto.
Kaka Hawa jamaaa walikuwa wanabalaaa sana wanapiga sana ngumiCharles kilian una wakumbuka ??
Wazee wa vishoka🤒Yule Leader wa ile Gang alidata amewekwa kati kwenye siti ya nyuma halafu milango ya gari haijafunguliwa wala nini kbbk.
Wana movie nyingi mnoo, god of gamblers, Shaolin soccer,Kaka Hawa jamaaa walikuwa wanabalaaa sana wanapiga sana ngumi