Habari zenu wakuu.
Natumai mnaendelea vyema na harakati za kusukuma gurudumu la maisha.
Wakuu kuna watu humu wana pesa hawana idea nzuri za biashara,na kuna wengine wana idea nzuri lakini hawana mtaji.
Mimi ninaandika uzi huu kuwalenga wale wenye idea za biashara lakini kinachowakwamisha ni mtaji.
Kama wewe unaamini una wazo zuri la biashara na huna mtaji,basi mimi nataka kushirikiana na wewe,mimi nitatoa mtaji wa kuanzia milioni 2-15 au hata zaidi kama nitashawishika na wazo lako.
Ninachotaka ni hivi,nataka faida itakayopatikana kwa biashara itokanayo na wazo lako itufaidishe mimi na wewe.
KUMBUKA:Sikopeshi pesa bali nataka tushirikiane ili sote tupate faida.
HUNIJUI SIKUJUI na siwezi kukuamini tu kwa maneno.Ili nikuamini inabidi utafute mbinu za UHAKIKA za kunifanya nikuamini.
Vile vile inabidi unishawishi vizuri ili niweze kuliamini wazo lako la biashara kabla sijawekeza pesa zangu.
Are you interested?
Please PM me.
Thank you and God bless you all.
Natumai mnaendelea vyema na harakati za kusukuma gurudumu la maisha.
Wakuu kuna watu humu wana pesa hawana idea nzuri za biashara,na kuna wengine wana idea nzuri lakini hawana mtaji.
Mimi ninaandika uzi huu kuwalenga wale wenye idea za biashara lakini kinachowakwamisha ni mtaji.
Kama wewe unaamini una wazo zuri la biashara na huna mtaji,basi mimi nataka kushirikiana na wewe,mimi nitatoa mtaji wa kuanzia milioni 2-15 au hata zaidi kama nitashawishika na wazo lako.
Ninachotaka ni hivi,nataka faida itakayopatikana kwa biashara itokanayo na wazo lako itufaidishe mimi na wewe.
KUMBUKA:Sikopeshi pesa bali nataka tushirikiane ili sote tupate faida.
HUNIJUI SIKUJUI na siwezi kukuamini tu kwa maneno.Ili nikuamini inabidi utafute mbinu za UHAKIKA za kunifanya nikuamini.
Vile vile inabidi unishawishi vizuri ili niweze kuliamini wazo lako la biashara kabla sijawekeza pesa zangu.
Are you interested?
Please PM me.
Thank you and God bless you all.