Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Hapo kwenye elimu ni zimwi, una point lakini ni kama umeshindwa kuiweka bayana pointi yako, but I can feel it, you have something there meaningfully, labda ulitaka kuzungumzia mifumo mibovu ya elimu,labda, mifumo inayokaririsha tu watu na kutotoa fursa ya watu kuweza kufikiri, mifumo ya elimu ambayo inapima ufanisi wa elimu kwa kuangalia ni wangapi wamepata grade gani, bila kujali wanaelewa nini, labda unamaanisha hicho, lakini ukisema tu "elimu" ni zimwi, unakuwa umegeneralize sana.
Kuhusu uwepo wa imani za uchawi Ulaya na Marekani, naomba Nyani Ngabu na Kiranga au EMT watusaidie.
Kuhusu uwepo wa imani za uchawi Ulaya na Marekani, naomba Nyani Ngabu na Kiranga au EMT watusaidie.
Sijui ni kwanini mnakuwa na mawazo kuwa elimu ni kitu cha maana kwa kiasi hicho kwenye maisha ya binadamu wakati hiyo elimu imetoka kwenye mfumo wa kufikiri wa binadamu halafu binadamu asiekuwa na hiyo elimu anaonekana wa ajabu
Elimu,kwa namna ninavyojua mimi elimu ni moja kati ya "zimwi" linalopendwa sana na watu ambalo limewanyang'anya uwezo wao wa kawaida wa kutafakari mambo
Nani amekudanganya Ulaya na Marekani hakuna uchawi?
Danganyaneni wenyewe lakini sio mimi!
Last edited by a moderator: