Alikuwa mpenda usawa,utajiri wake uko vichwani mwa watanzania makini/wazalendo.
Ni mtu aliyekuwa anaona mbali sana.
unaposema watanzania unajumuisha na viongozi wetu waliopo madarakani je viongozi wetu hawa wanao huo utajiri? Kwangu nadhani ni utakuwepo kwa wananchi wa kawaida tu na siyo kwa wanaccm wenzake