Je, unadhani kwanini jana Mamelodi Sundowns FC katika Mechi yao ya Ligi Kuu wamechezesha Wacheaji Chaguo la Pili tu?

Je, unadhani kwanini jana Mamelodi Sundowns FC katika Mechi yao ya Ligi Kuu wamechezesha Wacheaji Chaguo la Pili tu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Unaambiwa hakuna Mchezaji wa Kikosi cha Kwanza na hata wale wa Akiba ( Subs ) waliocheza hapa Dar es Salaam na Fungulia Mbwa FC jana walicheza katika Mechi yao ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini ambayo hata hivyo Walishinda Goli 1 kwa 0.

Mamelodi Sundowns FC watauwa Mtu na inaonyesha hawatanii na wanataka kutoa Dozi Takatifu ili liwe Fundisho kwa Vilabu vyote Barani Afrika.
 
Wapigwe tu, nasema wapigwe tu hakuna namna.

Nchi ilizidi kelele za wala mihogo na ndimu, sasa tutatulia kimya tukisubiri mafuriko yaliyotabiliwa na manabii na mitume wa dasalama kuwa mtageuka vyura na kambale wakazi wote wa dasalama mwezi huu na ujao.
 
Unaambiwa hakuna Mchezaji wa Kikosi cha Kwanza na hata wale wa Akiba ( Subs ) waliocheza hapa Dar es Salaam na Fungulia Mbwa FC jana walicheza katika Mechi yao ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini ambayo hata hivyo Walishinda Goli 1 kwa 0.

Mamelodi Sundowns FC watauwa Mtu na inaonyesha hawatanii na wanataka kutoa Dozi Takatifu ili liwe Fundisho kwa Vilabu vyote Barani Afrika.
Ndio tuseme wamejificha wanafanya mazoezi wakiwa wamefunika sura zao
 
Unaambiwa hakuna Mchezaji wa Kikosi cha Kwanza na hata wale wa Akiba ( Subs ) waliocheza hapa Dar es Salaam na Fungulia Mbwa FC jana walicheza katika Mechi yao ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini ambayo hata hivyo Walishinda Goli 1 kwa 0.

Mamelodi Sundowns FC watauwa Mtu na inaonyesha hawatanii na wanataka kutoa Dozi Takatifu ili liwe Fundisho kwa Vilabu vyote Barani Afrika.
Uoga tu ndio umewafanya wapumzishe wachezaji wao wa first eleven. Walidhani Yanga ni mtelemko wakashangaa kikosi cha kuokoteza kimewabana mbavu kwa Mkapa.
 
Unaambiwa hakuna Mchezaji wa Kikosi cha Kwanza na hata wale wa Akiba ( Subs ) waliocheza hapa Dar es Salaam na Fungulia Mbwa FC jana walicheza katika Mechi yao ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini ambayo hata hivyo Walishinda Goli 1 kwa 0.

Mamelodi Sundowns FC watauwa Mtu na inaonyesha hawatanii na wanataka kutoa Dozi Takatifu ili liwe Fundisho kwa Vilabu vyote Barani Afrika.
Uoga tu ndio umewafanya wapumzishe wachezaji wao wa first eleven. Walidhani Yanga ni mtelemko wakashangaa kikosi cha kuokoteza kimewabana mbavu kwa Mkapa.
 
Unaambiwa hakuna Mchezaji wa Kikosi cha Kwanza na hata wale wa Akiba ( Subs ) waliocheza hapa Dar es Salaam na Fungulia Mbwa FC jana walicheza katika Mechi yao ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini ambayo hata hivyo Walishinda Goli 1 kwa 0.

Mamelodi Sundowns FC watauwa Mtu na inaonyesha hawatanii na wanataka kutoa Dozi Takatifu ili liwe Fundisho kwa Vilabu vyote Barani Afrika.
Comments reserved
 
Unaambiwa hakuna Mchezaji wa Kikosi cha Kwanza na hata wale wa Akiba ( Subs ) waliocheza hapa Dar es Salaam na Fungulia Mbwa FC jana walicheza katika Mechi yao ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini ambayo hata hivyo Walishinda Goli 1 kwa 0.

Mamelodi Sundowns FC watauwa Mtu na inaonyesha hawatanii na wanataka kutoa Dozi Takatifu ili liwe Fundisho kwa Vilabu vyote Barani Afrika.
Mamelodi wameomba hiyo mechi isogezwe mbele lakini wamekataliwa Kwa sababu Wana viporo vya mechi tatu.

Wamechezesha kikosi hiçho Kwa sababu Richards bay siyo timu tishio.
 
Wangekuwa wanacheza na Makolo, wasingejali ni wachezaji gani watashiriki kwenye mechi yao ya Club Bingwa hivyo kusingekuwa na hiyo tahadhari ya kupumzisha wachezaji wao muhimu.
 
Kama ni kweli basi kanga(kitenge) na genge lake pale wasafie ni wapuuzi wakubwa,sikuhangaika na mechi lakini asubuhi nikawa nasikiliza michezo tena kwenye daladala,yaan Kanga(kitenge) na wapuuzi wenzie walikuwa wanasema hao jmaa walipanga full mkoko na wakapa gori tena jioooni kabisa.
 
Hiyo mechi ya jana nilitaka nibet niweke mzigo mnene sana upande wa Mamelodi, ila nilipoona wameingiza kikosi ya pili nikashtuka.

Back to the topic, jamaa wamejiandaa kuukoroga na kuushindilia ndani zaidi ule mwiko uliko kwenye makalio ya hii timu iitwayo 'Kupenda vya Bure Mwisho Mtapigwanao FC'.
 
Wangekuwa wanacheza na Makolo, wasingejali ni wachezaji gani watashiriki kwenye mechi yao ya Club Bingwa hivyo kusingekuwa na hiyo tahadhari ya kupumzisha wachezaji wao muhimu.
Siasa za chadema zimekuharibu akili hadi umezikimbia na sasa umehamia kwa matopolo. Pole sana dogo.
 
Jamaa wana wachezaji 42.
Halafu leo kuna Watu wanajidanganya kuwa Watashinda Afrika Kusini.

Bangi mbaya sana hasa ukiwa una Upopoma / Upumbavu fulani hivi kutoka Mafuriko ya Jangwani.
 
Wanajua Wana mechi ngumu sana dhidi ya Yanga waliyodhani wataifunga kirahisi kifupi wanatetemeka huku wakijua nafasi Yao ni ndogo mno kuvuka hii hatua
Hi ndo point ya msingi,walipaishwa sana ila wakakutana na kisiki
 
Back
Top Bottom