Je, unafahamu bidhaa huwa zina alama tofauti na expiring date?

Je, unafahamu bidhaa huwa zina alama tofauti na expiring date?

Shining Light

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2024
Posts
406
Reaction score
523
Mara nyingi tunapo nunua bidhaa huwa tunaangalia expiring date tu. Je, tunasoma alama zinginezo?

shelf life.png

Hii inaitwa shelf life, na inamaana gani?
So shelf life in pale utakapo anza kutumia bidhaa hiyo inatakiwa kitumika katika muda fulani, Mara nyingi make-ups nyingi huwa na hii alama, pia skin care products. hivyo unaweza kuta bidhaa inaexpire miaka mitano mbele ila baada ya miezi mitatu ikaanza kuleta muwasho, au ikawa imeharibika.


keep after.jpg

Keep Refridgerator after opening inamanisha nini?
Kuna bidhaa ambazo pia huwa zinatoa maoni kuwa ukishafungua, hifadhi katika jokovu, mara nyingi nidhaa hizi huwa kama tomato, chili, ukwaju, chutney zinafahamika kama condiments* viungo vya kuleta ladha zaidi kwenye chakula. Pia siagi na jam kadhaa.

milk.png

Use Within ni nini?
Kuna bidhaa zingine haswa maziwa, hutoa taarifa ya kuhifadhi kwenye fridge baada ya kufungua ila pia husema maziwa hayo yatumike kwa muda gani, Mara nyingi ni siku nne mpaka saba, hii pia hata baadhi ya juisi za box huwa na hizi taarifa.

Je, huwa unasoma bidhaa zinatoa taarifa gani ukisha nunua?

Pia soma: Dawa Kumalizika Muda Wa Matumizi (Expiration Date) Je, Zina Maana Yoyote
 
Mara nyingi tunapo nunua bidhaa huwa tunaangalia expiring date tu ila, je tunasoma alama zinginezo?

Hii inaitwa shelf life, na inamaana gani?
So shelf life in pale utakapo anza kutumia bidhaa hiyo inatakiwa kitumika katika muda fulani, Mara nyingi make-ups nyingi huwa na hii alama, pia skin care products. hivyo unaweza kuta bidhaa inaexpire miaka mitano mbele ila baada ya miezi mitatu ikaanza kuleta muwasho, au ikawa imeharibika.


Keep Refridgerator after opening
Kuna bidhaa ambazo pia huwa zinatoa maoni kuwa ukishafungua, hifadhi katika jokovu, mara nyingi nidhaa hizi huwa kama tomato, chili, ukwaju, chutney zinafahamika kama condiments* viungo vya kuleta ladha zaidi kwenye chakula. Pia siagi na jam kadhaa.


Use Within
Kuna bidhaa zingine haswa maziwa, hutoa taarifa ya kuhifadhi kwenye fridge baada ya kufungua ila pia husema maziwa hayo yatumike kwa muda gani, Mara nyingi ni siku nne mpaka saba. hii mia hata baadhi ya juisi za box huwa na hizi taarifa

Je, huwa unasoma bidhaa zinatoa taarifa gani ukisha nunua?

Pia soma: Dawa Kumalizika Muda Wa Matumizi (Expiration Date) Je, Zina Maana Yoyote
elimu bora
 
Mara nyingi tunapo nunua bidhaa huwa tunaangalia expiring date tu. Je, tunasoma alama zinginezo?

Hii inaitwa shelf life, na inamaana gani?
So shelf life in pale utakapo anza kutumia bidhaa hiyo inatakiwa kitumika katika muda fulani, Mara nyingi make-ups nyingi huwa na hii alama, pia skin care products. hivyo unaweza kuta bidhaa inaexpire miaka mitano mbele ila baada ya miezi mitatu ikaanza kuleta muwasho, au ikawa imeharibika.


Keep Refridgerator after opening inamanisha nini?
Kuna bidhaa ambazo pia huwa zinatoa maoni kuwa ukishafungua, hifadhi katika jokovu, mara nyingi nidhaa hizi huwa kama tomato, chili, ukwaju, chutney zinafahamika kama condiments* viungo vya kuleta ladha zaidi kwenye chakula. Pia siagi na jam kadhaa.


Use Within ni nini?
Kuna bidhaa zingine haswa maziwa, hutoa taarifa ya kuhifadhi kwenye fridge baada ya kufungua ila pia husema maziwa hayo yatumike kwa muda gani, Mara nyingi ni siku nne mpaka saba, hii pia hata baadhi ya juisi za box huwa na hizi taarifa.

Je, huwa unasoma bidhaa zinatoa taarifa gani ukisha nunua?

Pia soma: Dawa Kumalizika Muda Wa Matumizi (Expiration Date) Je, Zina Maana Yoyote

Ahsante kwa Elimu mkuu
 
Naomba kueleweshwa tofauti kati ya:

Ex date & Shelf life

Shelf life & Use within
Ex date ni maisha ya product either imetumika au lahh... ndio ile pia unakuta imeandika best before tarehe fulani, mwezi fulani mwaka fulani. alafu shelf life ni baada ya kununua bidhaa yako ambayo haija expire na ukaanza kuitumia, unaweka itumia kwa miezi kadhaa, shelf life inatumika haswa kwa vipodozi na dawa mbalimbali kwa sababu matumizi yake yanaweza yasiwe ya kila siku... alafu use within ni bidhaa mara nyingi za kunywa au kula ambazo unaweza tumia ndani ya siku kadhaa, na huwa pia zinaweza recommend ukihifadhi kwa fridge au freezer au sehemu kavu isiyo pigwa na jua moja kwa moja
 
Mara nyingi tunapo nunua bidhaa huwa tunaangalia expiring date tu. Je, tunasoma alama zinginezo?

Hii inaitwa shelf life, na inamaana gani?
So shelf life in pale utakapo anza kutumia bidhaa hiyo inatakiwa kitumika katika muda fulani, Mara nyingi make-ups nyingi huwa na hii alama, pia skin care products. hivyo unaweza kuta bidhaa inaexpire miaka mitano mbele ila baada ya miezi mitatu ikaanza kuleta muwasho, au ikawa imeharibika.


Keep Refridgerator after opening inamanisha nini?
Kuna bidhaa ambazo pia huwa zinatoa maoni kuwa ukishafungua, hifadhi katika jokovu, mara nyingi nidhaa hizi huwa kama tomato, chili, ukwaju, chutney zinafahamika kama condiments* viungo vya kuleta ladha zaidi kwenye chakula. Pia siagi na jam kadhaa.


Use Within ni nini?
Kuna bidhaa zingine haswa maziwa, hutoa taarifa ya kuhifadhi kwenye fridge baada ya kufungua ila pia husema maziwa hayo yatumike kwa muda gani, Mara nyingi ni siku nne mpaka saba, hii pia hata baadhi ya juisi za box huwa na hizi taarifa.

Je, huwa unasoma bidhaa zinatoa taarifa gani ukisha nunua?

Pia soma: Dawa Kumalizika Muda Wa Matumizi (Expiration Date) Je, Zina Maana Yoyote
Very useful information, and I learned this in a hard way, I used to take a bottled water, even after opening, i will use it slowly for days, then after, I got sick. After to much suffering and analyzing my daily routine, I came into a conclusion that the water are not safe any more after opening it and leave it for days especially using it without glasses.

After reading this, I see that I have to look for any reserved products.
 
Very useful information, and I learned this in a hard way, I used to take a bottled water, even after opening, i will use it slowly for days, then after, I got sick. After to much suffering and analyzing my daily routine, I came into a conclusion that the water are not safe any more after opening it and leave it for days especially using it without glasses.

After reading this, I see that I have to look for any reserved products.
Indees, you should. Food poisoning is a serious issue
 
Back
Top Bottom