Je, unafahamu dawa ya huu ugonjwa.

KALENDA

Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
72
Reaction score
28
Pamoja na salamu kwa wana JF wote !
Naomba kama kuna mtu anafahamu dawa ya kutibu au kutuliza "FLATULENCE".
Kuna jamaa alinipa e-mail ya mtu mmoja ambae inasemekana anauza vitabu ambavyo vinaelekeza tiba ya hilo tatizo
nimejaribu kuwasiliana nae haonyeshi kutoa ushirikiano ( hanijibu), e-mail yake ni joseph@flatulencecure.net
kama huyu ndugu Joseph anapatikana hapa JF, naomba anijulishe ni jinsi gani nitaweza kumpata ili ninunue hicho kitabu chake.
Natanguliza shukurani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…