Au ni mkenya labdaYupo kenya ila sijui anafanya nini
Primary hadi Advance kusomea hapa tz huko Ruvuma kama sikoeiAu ni mkenya labda
Mchomvu ameingije hapo? Chuki binafsi hizoYule ni talented man sio hawa wakina Mchomvu mibange tuui
Mimi huwa sifanyi chuki ila aina ya akina mchomvu wapo wengi asa pale clouds ni ovyo sana wanaua talent za watuMchomvu ameingije hapo? Chuki binafsi hizo
wameua talent za kina nani labda? Na kama hawafai why unawasikiliza?Mimi huwa sifanyi chuki ila aina ya akina mchomvu wapo wengi asa pale clouds ni ovyo sana wanaua talent za watu
Haaaa mchomvu namba nyingine,Alain aingii hâta punje..... Unacheza na "habari yako bana"Yule ni talented man sio hawa wakina Mchomvu mibange tuui
advance kasoma minaki.namkumbuka alikuwa anakuja sana azaniaPrimary hadi Advance kusomea hapa tz huko Ruvuma kama sikoei
Kwao ni Ruvuma mkuuAu ni mkenya labda
Duh wakenya wamesema naye ni wa kwao hakika Kenyans sio watu wazuriYupo kenya ila sijui anafanya nini
Hao kina mchovu ni wahuni sijui hupiga bangi kabla ya kipindi wana iharibu clouds had inaonekana ya wahuniMimi huwa sifanyi chuki ila aina ya akina mchomvu wapo wengi asa pale clouds ni ovyo sana wanaua talent za watu
A level alikuwa MinakiPrimary hadi Advance kusomea hapa tz huko Ruvuma kama sikoei
japo kwao ni ruvuma lakini allan ni fahari ya tanzania. laiti vijana wengi wa tz wangekuwa na ubunifu na iq kubwa kama yake soko la ajira la africa mashariki lingeomba poo kwa watz.Kwao ni Ruvuma mkuu