King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Source:Mwenyekiti wa wamiliki wa Shule binafsi za sekondari,alitoa taarifa hiyo wakati akichangia mada kwenye tuongee asubuhi Star Tv,alieleza kwamba mwanafunzi wa sekondari wa bweni(Tosamaganga) analipiwa na serikali dola 2000 kwa mwaka